CUTE
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 1,230
- 591
M-bongotz omba sana mungu asiligundue hilo mana ni atakuchezea akili mpaka utaiona dunia yote ya zambarau....Sijui niite ni tatizo au nini hiki,demu wangu wa mwisho kabla ya wife bado amenikaa akilini ile mbaya,msitake kujua kwanini tulimwagana, nampenda sana wife lakini huyu mtangulizi wake kila nikijaribu kumtoa akilini inakuwa ishu ingawaje ni miaka karibu minne sasa toka uhusiano ulipokufa by mutual consent.