St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,635
- 4,519
beibe nasty mzima huku ulipo..??
Last edited by a moderator:
Ndo huna sasa wataman nimezaaa eeeh hahaaa usimchezee chatu oooh chatuu eeeeh gongo usimtupie utaukosa ushindningekua na uwezo ninge kutwanga ban
Wa afyaaa napata ndizi na mishikakii hapa na dogobeibe nasty mzima huku ulipo..??
mamie tatizo nshazoea kujitawala, ka club naenda nakesha mpk asbh, naenda bar nalewa tilalila kama flan wa humu jf na hakuna wa kuniuliza yan kichwa changu ndo serikali yangu. sa iweje nipate mtu wa kuniuliza uko wapi,warud sa ngapi. siwezi mie kiruuuu hebu na anipishie mbali. . . .
Wa afyaaa napata ndizi na mishikakii hapa na dogo
Hongera mama mimi huku nakazia swaumu,karibu futari...jioni
Wakubwa,wana chitchat, mwenzenu bado nalia na charminglady .Najua ni mateso kupenda usipopendwa,sina budi kusema hili,kiukweli ninateseka sana tena sana na huyu mlimbwende,naomba mtu ambaye yupo karibu naye anisaidie
Nimekuwa na wakati mgumu sana hasa ninapomgusa tu hata kwa salamu anakua mkali sipata ona,kama hamuamini ngoja muone post zake hapa atakavyo nishambulia.Namini Kongosho , FirstLady , cathelin Madame B na wengine mkiingilia kati ntaweza kufanikiwa
View attachment 61371
Huwa mnasema hivyo lakini mwishowee....
Ndo huna sasa wataman nimezaaa eeeh hahaaa usimchezee chatu oooh chatuu eeeeh gongo usimtupie utaukosa ushind
ha,ha,ha....salute mkuu!
teh,teh,teh,....we mtukutu sana eeh,sawa bwana,ila siku ndo nimekubaliwa utatafuta pa kujificha
utukutu wapi? time is now!! We ulivoona mtu anajina la charming baaasi ukazuzuka kumbe watu ni manasty smts heheheheheheeeeeeeeeee pole yakoooo
acha kutuzuga, umeomba lini wewe? hata mlango wa kanisa huujui. . .
hahaa mkuu Jiwe Linaloishi me nimeshamwambia kuwa naenjoy kuwa single bt ye hata haelewi. . . ctaki stress mie!
hicho kicheko tu dah,umejiachia kwa raha zako kiasi kwamba sie wenye shida ya mapenzi hata hutujar
hapooooo unakosea shost wamim yan usiseme hapo eti hutaki stress dats mean unahitaji ila waogopa stress aaaah cl vipi teena we hutaki dats final hata kama hapatakuwaa na stress no kwenda au?
hapooooo unakosea shost wamim yan usiseme hapo eti hutaki stress dats mean unahitaji ila waogopa stress aaaah cl vipi teena we hutaki dats final hata kama hapatakuwaa na stress no kwenda au?