%%%. Bado kidogo nimpige vibao mdogo wangu wa KIKE .%%

MtamaMchungu na Angel Msoffe ..mpaka nimekuja na huu uzi nilishajishuku kwamba kuna kitu hakipo sawa... sasa wote mnavyokuja na mitazamo inayonikandamiza nashindwa waelewa kwani na nyie mtakua wazazi siku moja.....
 
Last edited by a moderator:
Blogger bana, kaombe msamaha tu, na umweleze kuwa kama ungekuwa na hela usingeomba, ulikuwa huna, na kama yeye ana uwezo angekupa na sio kuruhusu uombe nauli! Ni PM namba yake dadako, anaonekana dada mwenye msimamo na mchapa kazi..au vipi blogger tuunge undugu bana shemeji yangu!

hahaha du vp amesha kuPM
 
Upo nyumbani 2 huwezi kukutanisha miezi!! je ukianza kujitegemea?!!! .........


mkuu mie ni kibarua tu...wala serikali hainijui na nnajitahidi nianze jitegemea mapema ili niepuke dharau za hawa mabint..

just imagine dada yangu kanijiabu hivyo.. Vipi mtu baki..
 
Ukirudi muengezi kibao kengine....uone atavokudunda mana wanawake wa siku hizi wanazichapa si mchezo

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Mod mfungue na forum ya watoto...............waimbe mabata madogodogo na kutupiana nyuzi kama hz, too kiddish this is, morover MMU!!!!!!uuuuuuuuuuuuuuuhhhhh​
 
Ukianza tabia ya woga kwa dada yako ujue tabia hiyo itakufuata mpaka kwa mkeo.

Mwanaume wa kweli huwa na msimamo thabiti. Dada yako ndo anapaswa akuombe msamaha, siyo wewe.
 
Hakuna kuomba msamaha, mtoto wa kiume hapa, kwani umekosa? Me naweza nisiwe na pesa kwa masaa au siku, lakini baada ya hapo unakuwa nazo na maisha yanaendelea, ndiyo walee siku ameolewa mumewe anahangaika nauli za watoto yeye hata pencil hanunui....

Lazima tujifunze kukosa ni sehemu ya maisha, chukulia umetoka ofisini usiku kwenda atm haifanyi kazi (kwa mfano crdb ), what next? Usiende job?
 
Cjui MUNGU wao tofauti na wetu..

Tunaishi bado kwa wazazi. ila kuna viajira tumepata mjini...

kilichonifanya kuleta huu uzi hapa ni kashfa alizonipa dogo wangu baada ya kuomba nauli...alisema hivi..
,
wewe(mimi): unaombaje nauli wakati una kazi..

nikajifanya kama sijasikia..

akarudia ....."huwezi omba nauli na una kazi".

nikamwambia mshahara/posho bado....
akajibu.. "huwezi save hela zako"

hapo sasa uvumilivu ulinishinda nikaamua kumpa live... nikamwambia dogo usinnizoee vibaya mie ni mtoto wa kiume...kumbuka kwamba wewe unavyokatiwa mshiko mtaani na wanaume na mie kuna mrembo namkatia mshiko...hivyo basi ni halali mie kuishiwa mapema....nipotezee.

nkaondoka.. ila nilivyo panda gari nafsi ikanisutta kwamba nimekua rude kwa sista. Najiandaa rudi home saiv..

sasa ndugu zangu nikakomae na msimamo wa yeye kutofuatilia maisha yangu.. au niombe msamaha kwa kua rude..

KARIBUNI

Kwa busara za kawaida, hapo pa bluu ndio ungeishia, inaeleweka wakati mwingine posho huchelewa na hivyo kufanya mtu kuishiwa. Hiyo ingetosha kumfikirisha.
Hapo pekundu ndipo ulipokosa busara,kwa kuwa ulihalalisha kuishiwa kwa sababu ambayo haina msingi sana kulinganisha na hiyo sentensi ya kijani!

Kumbuka wewe ulibashiri tu kuhusu yeye "kukatiwa mshiko na wanaume" inaweza isiwe na ukweli, ila wewe "umejishtaki mwenyewe" kuwa ndivyo ufanyavyo?! Sasa kwa kutegemea posho ambayo hata mwishoni mwa mwezi haifiki unaweza kujigamba kuwa "kuna mrembo unamkatia mshiko?!"

Naamini unatakiwa kuongea na dada yako, walau kunyoosha mapito kiasi! Maisha yako yanamhusu, kama yake yanavyokuhusu wewe pia, kumbuka ni dada yako, labda ameona udhaifu wako katika kutunza kidogo ulichonacho?!
Japo pia hakupaswa kutumia maneno aliyotumia kufikisha ujumbe wake kwako, ila ndo mdogo wako sasa, wewe unapaswa kuonyesha njia, huo ndio ukubwa. Tena basi huo ndio uanaume!
 
Cjui MUNGU wao tofauti na wetu..

Tunaishi bado kwa wazazi. ila kuna viajira tumepata mjini...

kilichonifanya kuleta huu uzi hapa ni kashfa alizonipa dogo wangu baada ya kuomba nauli...alisema hivi..
,
wewe(mimi): unaombaje nauli wakati una kazi..

nikajifanya kama sijasikia..

akarudia ....."huwezi omba nauli na una kazi".

nikamwambia mshahara/posho bado....
akajibu.. "huwezi save hela zako"

hapo sasa uvumilivu ulinishinda nikaamua kumpa live... nikamwambia dogo usinnizoee vibaya mie ni mtoto wa kiume...kumbuka kwamba wewe unavyokatiwa mshiko mtaani na wanaume na mie kuna mrembo namkatia mshiko...hivyo basi ni halali mie kuishiwa mapema....nipotezee.

nkaondoka.. ila nilivyo panda gari nafsi ikanisutta kwamba nimekua rude kwa sista. Najiandaa rudi home saiv..

sasa ndugu zangu nikakomae na msimamo wa yeye kutofuatilia maisha yangu.. au niombe msamaha kwa kua rude..

KARIBUNI

kama aliongea akiw anatania, kwel ulikuw rude kwak ila kama alikuw anaongea kwa dharau ba c umefanya vema kabisa
 
wewe ulikuwa sawa na sister wako alikuwa sawa,wewe ulikuwa na shida hivyo alitakiwa kukupatia bila masharti au kama alikuwa hana angesema sitaki au sina na wewe ulimpa kubwa kwa sababu alikuwa anaelekea kukudhalilisha na kukudharau hakuna kuomba msamaha.
 
Mtu yeyote anaefanya kazi hapaswi kuomba nauli, ulipaswa kukopa fedha ya maana amabayo utarudisha ikionyesha kuwa umeishiwa pesa.

Pia umemdhalilisha na kum-support dada yako kukubali kuhongwa na wanaume, siku akirudi late ukimuuliza mbona umechelewa usishangae akakupa jibu alikuwa anahongwa...Swallow your ego mwombe msamaha...mwambie hukumaanisha ulikasirishwa tu....
 
Back
Top Bottom