Pole sana mkuu! huwa si vizuri. Ingawa mi sijui hata machungu ya ex maana tulianzana wote tukiwa wabichi.
Ila nikuambie ukweli kama mwanamke wewe ndo wa kwanza kwake hatokusahau....... Mi mpenzi wangu kuna siku nilimchokoza nikamwambia hivi siku tukiachana na umeshapata mpenzi halafu tukaja onana tena utafanyaje? Na nikikuambia Nimemic mambo yako utafanyaje?
Hehehe! Aibu zikamjaa mara oh usiseme hivyo mpenzi, mi sitaki bhana maneno yako ya kichokozi. Nikambana Akaniambia TUTA.....KUMB....SHI.... Full Aibu na kufunika Uso wake Kifuani kwangu