FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,793
- 5,372
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TF,kuna wadada watatu nimefuatilia post zao hapo juu,mmoja ni mleta mada wawili majina kapuni,wambie bishanga anasema hivi...'nye..ge mbaya'!
Kongosho i hope kale ka tatizo kanakofanana na huyu EW umefanikiwa kukatatuaTena ni ugonjwa, ukiendekeza zinakula ubongo.
Yo.......yo..........yo..........Pole sana kimwana....najua unaumia juu ya ogo langu...Jamani kama mnakumbuka ule uzi wangu wa yule mwana JF anayenikosesha usingizi..Nawaza sijui ni mganga yupi niende........,Eti kanambia ooh nimeoa pls dont follow follow me .....Nikamwambia naomba ka busu ka mbali baada ya hapo sikujui tena...Jibu lake..ooh we dada wa JF usiniletee mabalaa maishani mwangu....sitaki nasema sitaki Ni huyu pekee anayeutesa moyo wangu..Hakuna mwingine chini ya jua zaidi yake .....Msiniseme guys ni mapenzi tu..Sitaki kuwa kama KongoshoWhat i need is a kiss jamani ..Mbona una roho ngumu wewe (.......)Hii msg itamfikia mhusika for the second time..kupitia ubao huu............................xoxoxoxoxoxoxoxo
kweli na shetani ana nguvu kweli eneo hilo juzi kidogo aniangushe ila neema ya mungu ni kubwa nikashtuka....
Kwahiyo wakiwa wanacheat ndio wanandoa wote waletee vishawishi mpaka vyumbani mwao kwa lazima?! Tafuteni wakwenu na nyie. . .kama hamwezi basi ibeni wale walio tayari kwenye huo mchezo na sio kulazimisha wasiotaka.
gambachovu. si wewe nipe mbinu
fafanua hapo kwa lazima! kuna mtu huwa anavutwa kamba kweli???
Habari yake be dada mzima weye!
Hivi leo ndo Mei Dei?