Radical
JF-Expert Member
- Jun 3, 2009
- 374
- 44
Hakuna siri kuwa utoaji wa leseni za udereva umegubikwa na rushwa tupu, ndio maana ajali ni nyingi mno. Mtu anayenunua leseni si sawa na yule anayepitia mafunzo halali na intensive, coz hajui dhamana anayobeba.
Tabia za kijinga za ku-ovateki, spidi kali, nk kwa muendesha gari (simuiti dereva) zinasababishwa na ukosefu wa mafunzo juu ya heshima ya chombo.
For once please, rekebisha huu mfumo otherwise tutafanya wiki nenda kwa usalama, semina, matamasha, nk lakini ajali zitaendelea kutuua...
Tabia za kijinga za ku-ovateki, spidi kali, nk kwa muendesha gari (simuiti dereva) zinasababishwa na ukosefu wa mafunzo juu ya heshima ya chombo.
For once please, rekebisha huu mfumo otherwise tutafanya wiki nenda kwa usalama, semina, matamasha, nk lakini ajali zitaendelea kutuua...