Badala ya kupeleka maendeleo Pemba....

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
waheshimiwa wameamua kujenga gjhorofa Unguja kwa kutumia BILIONI 20

litaukwa linaitwa GHOROFA LA MUUNGANO

as if wakishalijenga hilo ghorofa Zanzibar watayaachia hayo mafuta

wao hawautaki muungano, be if CUF au CCM, deep down they have one thing in common: HAWAUTAKI MUUNGANO na bara ndio wanaoungangania, sasa badala ya kufanya mambo ya maendeleo kule kwenye kisiwa kilibaki kwenye karne ya 2 wameamua kujenga GHOROFA/JENGO la BILIONI 20

Says alot about where priorities zao WATAWALA watawala zilipo...Pemba unemployment inatisha lakini hilo waheshimiwa hawalioni

I wonder hii tenda ya kujenga kama SHADYA KARUME keshachukua au bado, maana yule na familia yake kila tenda na kila open space yao..inluding hiyo ya kujenga JENGO LA MUUNGANO!


Hivi kuna mtu anaweza kunipa breakdown mambo mangapi yanaweza kufanyika Pemba na hizo bilioni 20?

source:daily news la jana jumamosi: SINA LINK
 
..bora ungewahimiza Wapemba wenyewe wakumbuke kwao kwa kupeleka maendeleo.

..nimesoma habari kwamba Rashidi Kawawa kachangia milioni 21 kwa ajili ya ujenzi wa shule Liwale.

..Salim Salim na mapesa yake yote hakuna alichofanya Pemba.
 
Serikali ya vipofu hii utashangaa mengi tu, kama bado unashangaa nguvu za CC na NEC zinavyofunika Bunge, subiri 2010 hata roho za watu zitapotea eeh!
 
cha ajabu hakuna nayelalamika kuhusus hizi bilioni 20 zinavyotumika vibaya

halafu mnapiga vita ufisadi!

Nadhani ingekuwa bora wakawin hearts and minds za waPemba kwa kupeleka massive government projects kule in the end kila mmoja angekuwa ana kazi na at least CCM wangepata baadhi ya majimbo sasa by the look of things inaelekea CCM wanaiona Pemba as a lost cause na hii itastretch resources za serikali maradufu ili kuiweka in the line na wengine...kuanzia ulinzi na usalama mpaka hiyo political price kule visiwani

Au ndio ishaingia mentality ya why care wakati wenyewe wanataka kujitenga?



haya endeleeni
 
Vizuri, Zenj inahitaji vikwangua anga vingi tu (Hao wapemba wanaweza kupata ajila wakati wote wa ujenzi huo)
 
Wanainchi kule Pemba kwani waliulizwa wanataka hilo jengo la bilion 20??

Heri hizo 20 Billioni zingefungua kule Chuo Kikuu au basi hata kufungua Campus ya Dodoma University kule!
 
Our priorities are upside down! Is it really that hard to differentiate wants from needs??? Kaazi kwelikweli...
 
kupeleka maendeleo ni lazima wananchi waulize?

hiyo ni kazi ya serikali na wizara ya mipango sidhani kuna haja ya kufanya mikutano ya hadhara kuwauliza wananchi wanacho kitaka

ndio maana tukawa na ma economists kule MIPANGO
 
bora ungewahimiza Wapemba wenyewe wakumbuke kwao kwa kupeleka maendeleo.

..nimesoma habari kwamba Rashidi Kawawa kachangia milioni 21 kwa ajili ya ujenzi wa shule Liwale.

..Salim Salim na mapesa yake yote hakuna alichofanya Pemba.

????? Pesa ni za salim na familia yake. haziwezi saidia wapemba wote. Kuna watu wangi sana wanaotoka Pemba wanapesa nyingi sana kuliko Salim, Mfano bakharesa.

maendeleo yanaletwa na wananchi wenyewe panapowekwa mipango mathubuti.
 
Hata wakijenga hizo ni fedha za Wazanzibari tu,ambazo zimekuwa zikirundikwa huko upande wa Tanganyika ,sasa wanajaribu kuzirudisha kinyemela ili ionekane kuwa wanaleta maendeleo ,naona wanajaza maji kwenye pakacha,sijui hawaelewi kwa nini Karume hakuhudhuria NEC ?

Jamani CCM haitakiwi tena Zanzibar itabakia hukuhuku Tanganyika tu ,na WaZanzibari wameshaona hatari ya kutawaliwa na CCM ni kurudishwa katika hali duni hata kabla ya utumwa na pengine hiyo hali ya kabla na utumwa ikawa ni bora kuliko maisha ndani ya utawala wa CCM ,utawala ambao umejijengea mipaka na maukuta na humo ndani wanafanya wanavyotaka kumkandamiza Mtz.

Eti jamani wakiuwa wanaachiana ,wakiiba wanaachiana kwa visingizio vya utawala bora na kufuata sheria ,mbona mwizi wa kuku hahitaji kuundiwa tume na kutafutwa sheria kwenye makabati ili zimhifadhi ? Hawa wauaji ambao ushahidi upo wazi kabisa wanashindwa kuwekwa hata jela mwezi mmoja ? Eti hawakuuwa sasa mahakama haina uwoni wa kuona kuwa wameshiriki ,wanakuja na hoja hilo sio kosa alioshtakiwa ,yaani hata ile maana ya mahakama inabanjuliwa na kutawanywa ili wahafidhina wa CCM wabakie uraiani kama hakuna lililotokea ,viongozi wamenyamaza majaji wanaona wanatenda ndivyo ,hivi tunahitaji kiongozi mvuta bangi awakandie wauaji na wahujumu uchumi ? Ushahidi upo wazi kabisa ,yaani hata kipofu akisomewa basi hana jingine isipokuwa kuwahukumu kifungo wahusika na walioshiriki kama walifyetua risasi au hawakufyetua ,tusijaribu kuwahifadhi watu kwa kisingizio cha sheria haikufuatwa ,kuna mambo hayahitaji kuzitafuta sheria ,yaani mahakama peke yake ingetoa jambo la maana kwa kusema washitakiwa hawakushiriki lakini wamehusika ,kumbuka kesi ya Ditopile ,kesi ya Zombe ,kesi ya Mahita ,hawa wote wamehusika na uovu ,lakini wanahifadhiwa kwa kutafutwa sheria japo hazifai wala hazielekei.
 
Last edited:
Wanainchi kule Pemba kwani waliulizwa wanataka hilo jengo la bilion 20??

Heri hizo 20 Billioni zingefungua kule Chuo Kikuu au basi hata kufungua Campus ya Dodoma University kule!
yah!i am complying with tha red bolded part of your post
 
Back
Top Bottom