jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Natamani tu-share na wewe mwanajamvi,
Una-deal aje na mtu mwenye "bad moods"?
Tupeane xperience!
As tunavyojua kuwa mtu akiwa kwenye "bad mood"
Ni anaweza kukukwaza, ni anaboa wakati mwingine..!
Kila mtu ana vituko vyake akiwa kwenye bad mood..
Wakati mwingine inatishia hata kuvunja mahusiano!!
Kwa xperience yangu binafsi, mara kadhaa nmekuwa
katika mahusiano na watu ambao "wa-moods"..
Aisee, sidhani kama nimewahi kufanikiwa katika
Ku-deal na hawa watu na moods zao.
Sio vizuri kumuhukumu mtu kwa upungufu wake,
Kwa maana hiyo ni vizuri kumuelewa na kupata
Namna bora ya ku-deal naye... ndio maana
Nakuja kwenu wanajamvi... Tupeane uzoefu
TUOKOE MAHUSIANO!
Una-deal aje na mtu mwenye "bad moods"?
Tupeane xperience!
As tunavyojua kuwa mtu akiwa kwenye "bad mood"
Ni anaweza kukukwaza, ni anaboa wakati mwingine..!
Kila mtu ana vituko vyake akiwa kwenye bad mood..
Wakati mwingine inatishia hata kuvunja mahusiano!!
Kwa xperience yangu binafsi, mara kadhaa nmekuwa
katika mahusiano na watu ambao "wa-moods"..
Aisee, sidhani kama nimewahi kufanikiwa katika
Ku-deal na hawa watu na moods zao.
Case1
"Cheusi alikuwa mtoto mmoja mrembo sana,
tulipokutana ofcz haikuchukua mda tukaanza
mahusiano sababu hatukutaka unafiki kuwa
eti tuzinguane, ali-fall kwangu kama mimi kwake!
Baada ya siku kadhaa tu nikajua ugonjwa wake
Moods!
Niliwahi kujaribu vitu kadhaa ilikumfanya awe sawa,
Majibu ya mtu mwenye bad mood unaweza ukalia...
"Twende kutembea" anajibu "nimechoka"
"Tuchek movie" anajibu "sijisikii"
Hapo ni amelala wala hakuangalii...
Mara kadhaa alipokuwa akianza kuwa hvyo
Naamua kumpa nafasi awe peke yake..
Niliporudi akauliza "kwani nilikwambia nataka space
au nakutaka wewe"
"Cheusi alikuwa mtoto mmoja mrembo sana,
tulipokutana ofcz haikuchukua mda tukaanza
mahusiano sababu hatukutaka unafiki kuwa
eti tuzinguane, ali-fall kwangu kama mimi kwake!
Baada ya siku kadhaa tu nikajua ugonjwa wake
Moods!
Niliwahi kujaribu vitu kadhaa ilikumfanya awe sawa,
Majibu ya mtu mwenye bad mood unaweza ukalia...
"Twende kutembea" anajibu "nimechoka"
"Tuchek movie" anajibu "sijisikii"
Hapo ni amelala wala hakuangalii...
Mara kadhaa alipokuwa akianza kuwa hvyo
Naamua kumpa nafasi awe peke yake..
Niliporudi akauliza "kwani nilikwambia nataka space
au nakutaka wewe"
Case 2
"white, ni wa kawaida sana ila just anavutia sana
sijui kwanini.....
ye ndo akiwa kwenye moods, hataki kupokea simu,
Ni kulala tu wala hakipikiki kitu ndani ya nyumba...
Ok utaamua kumuacha labda apoe kwanza,
Utarudi na zawadi, atakuangalia tu...."
Nyakati hazirudi nyuma, kuachana ni uamuzi wa mwisho."white, ni wa kawaida sana ila just anavutia sana
sijui kwanini.....
ye ndo akiwa kwenye moods, hataki kupokea simu,
Ni kulala tu wala hakipikiki kitu ndani ya nyumba...
Ok utaamua kumuacha labda apoe kwanza,
Utarudi na zawadi, atakuangalia tu...."
Sio vizuri kumuhukumu mtu kwa upungufu wake,
Kwa maana hiyo ni vizuri kumuelewa na kupata
Namna bora ya ku-deal naye... ndio maana
Nakuja kwenu wanajamvi... Tupeane uzoefu
TUOKOE MAHUSIANO!