Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
kama heading inavyowakilisha nawasilisha
kuna mtu juzi tu kaniambia kwao mtu akisema ana bad mood
basi huwa wanamuona ana roho mbaya
bad mood= roho mbaya.....lol
Jamani the boss cyo hivyo basi tu haya mapenzi yananitatiza
Jamani the boss cyo hivyo basi tu haya mapenzi yananitatiza
Wewe huyo mume atakuzeesha huku bado mdogo
mtafutie kidumu yaishe lol
kuna mtu juzi tu kaniambia kwao mtu akisema ana bad mood
basi huwa wanamuona ana roho mbaya
bad mood= roho mbaya.....lol
Tuko beach tunasikiliza reggae kwa radio ya gari nasikia kadedicate lovely song kwa mwanamke mmoja nauliza eti ananiambia huyo ni mwarabu alikua anapenda taarab ye ndo amemfanya apende raggae eti wako group moja BBM wakati mi ndo nimepigika when he lost his name kama verse 1 ya wimbo inavyosema lakini cjawahi kupata dedication nasikia wivu mbaya
Bad Mood? Sasa si ufunguke aisee Eversmilin Gal ili tujue nini tatizo, haoni kuwa unatupa kazi ya ku-guess matatizo yanayoweza kuwa yamekukuta na hivyo kukwamisha zoezi zima la kujadili thread yako?
Hivi roho mbaya = evil spirit au?
Nope
evil spirit ni majini au mapepo
roho mbaya evil heart i guess lol
Basi iwe moyo mbaya na si roho mbaya!
BTW Moyo mbaya ni wenye tundu au uliopanuka?
Mbona nshajielezea jamani
Tuko beach tunasikiliza reggae kwa radio ya gari nasikia kadedicate lovely song kwa mwanamke mmoja nauliza eti ananiambia huyo ni mwarabu alikua anapenda taarab ye ndo amemfanya apende raggae eti wako group moja BBM wakati mi ndo nimepigika when he lost his name kama verse 1 ya wimbo inavyosema lakini cjawahi kupata dedication nasikia wivu mbaya
sasa na wewe dedicate wimbo kwa mwanaume
mwambie uko nae facebook
wimbo uitwe 'i cant get enough of you' lol
dedication kwa boss wa jf lol