Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Najiheshimu si ndio maana nawapata ..kichapo ndio solution nimeshaona
Yawezekana una tatizo somewhere.
Najiheshimu si ndio maana nawapata ..kichapo ndio solution nimeshaona
Jg Beibe Nasty hajambo?
Kwa nini nakuwa na bahati ya kukutana na wanawake ambao hawaniheshimu? Shida ni nini .. Ama niwe natembeza kichapo
Hahahaaa big up meen..!.Kusapona! Baabake 52 asipone mchezo?
Mi-counter attack yote ile ?
Beki kama winga! Pasi fupifupi za Kihispania !
Timu za hivyo hazisubirigi ushindi wa penat!
Ukiona manyoya....SI,hawakuheshîmu kivp hebu funguka. upate maushauri mkuu!
Kwa nini nakuwa na bahati ya kukutana na wanawake ambao hawaniheshimu? Shida ni nini .. Ama niwe natembeza kichapo
Ukiona manyoya....
bravo!!!na philosophy yangu mkuu inasema...''a women desire ruled by man action"so kamaa we ni wakuwazarau na kupenda masihara hata kwenye mambo ya serious juaa watakuchukuliaa mzaa na mazarau,mwanamke kumpigaa mwanaume inaaza hivi...anakucharukiaa anakujiaa juu we kimyaaa,siku ya pili anakushikaa shatii ana kukunjaa we kimyaaa,anaonaa ahaa...mara ya tatu anakupigaa kibao we kimyaa tu....inakujaa hatua mbaya kabisa anakupiga kidole cha makalio mbelee ya marafiki zako,kudadekiiiii....
Ukiona manyoya....
Heshima ianzie kwako mkuu.
uwe-sa-ingine-unamshirikisha-mungu-piaKwa nini nakuwa na bahati ya kukutana na wanawake ambao hawaniheshimu? Shida ni nini .. Ama niwe natembeza kichapo
hapo-pia-panaweza-kua-panachangiaTembeza kichapo watakuheshimu...ila yawezekana nawe hujihehimu that's why nao...
...mwanamke apigwi mkuu...na akipigwa kwa upande wa khanga...au unataka kuwa kama....jamaa zetu wa tarime..?
definetly ...nimekuelewa kaka sitapiga