platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,364
- 11,150
- Thread starter
- #21
Utafiti unasema chanzo #1 cha mmigogoro ndani ya ndoa
ni suala la upatikanaji na matumizi ya pesa ndani ya nyumba:
nani anatafuta, anatafuta kwa njia gani? nani anatumia,
anatumia kwa kupata vitu gani? nani anaset priorities?
Kuna mengine pia, ngoja niwapishe wana ndoa wataje,
mi nimeleta hili ambalo limesha fanyiwa utafiti (source)
Asante kwa source...........but ningependa kusikia wewe unalionaje hili....najua bado wewe ni mwali lakini utakuwa una uzoefu wa kuishi na kuona au si sivyo umashayasikia mkoleni