platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,154
Nazungumzia wanaume ambao hawajaoa na ambao wanataraji kuoa na au wanaotaraji kuoa lakini wanakatishwa tamaa na story nyingi hasi kuhusu ndoa.
Nimeandika haya kufuatia mazungumzo na baadhi yao kama mimi ambao wameshakata tamaa kuoa kutokana na changamoto kadhaa za wazi wanazoziona kutoka kwa waliooa.
Najua kwamba kila jumamosi ama jumapili au Ijumaa kuna ndoa zinafungwa lakini nafahamu pia kuna Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi wanandoa wengi wanalia juu ya mahusiano mabaya ndani ya ndoa zao na mengine yanavunjika kabisa. Hili si tu linakatisha tama mabachala kama sisi lakini pia linatengeneza sintofahamu kubwa kuhusu hii taasisi muhimu katika maisha.
La kuzingatia:
1. Kwa nini watu wanaoa/kwa nini tuoe
2. Changamoto za kuzingatia kwenye ndoa
3. Sababu zipi za zitakufanya uvunje ndoa
Kwenye hii semina nawakariibsha watoa mada na ushauri hawa hapa kwenye mjadala: Mtambuzi, HorsePower, mito, Babu D.c , Ngongoseke na wengineo watakaojisikia kutoa neno kwenye Bachelor club yetu.
Lakini pia kwenye side comments nawakaribisha kinadada walioko kwenye ndoa (angalau kwa mujibu wa maelezo yao) nyumba kubwa, gfsonwin, The secretary, Nakshi, cacico n.k watoe neno.
Lakini pia niwatambue mabachala hawa: Obe, Eiyer na wengineo.
Seriosly ni mjadala muhimu na wa wazi
Update
Mtambuzi kapost mada nzuri kuhusu ishu inayofanana na hii fuata hii link https://www.jamiiforums.com/mahusia...ata-mchumba-mwenye-tabia-uzitakazo%85%85.html
Nimeandika haya kufuatia mazungumzo na baadhi yao kama mimi ambao wameshakata tamaa kuoa kutokana na changamoto kadhaa za wazi wanazoziona kutoka kwa waliooa.
Najua kwamba kila jumamosi ama jumapili au Ijumaa kuna ndoa zinafungwa lakini nafahamu pia kuna Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi wanandoa wengi wanalia juu ya mahusiano mabaya ndani ya ndoa zao na mengine yanavunjika kabisa. Hili si tu linakatisha tama mabachala kama sisi lakini pia linatengeneza sintofahamu kubwa kuhusu hii taasisi muhimu katika maisha.
La kuzingatia:
1. Kwa nini watu wanaoa/kwa nini tuoe
2. Changamoto za kuzingatia kwenye ndoa
3. Sababu zipi za zitakufanya uvunje ndoa
Kwenye hii semina nawakariibsha watoa mada na ushauri hawa hapa kwenye mjadala: Mtambuzi, HorsePower, mito, Babu D.c , Ngongoseke na wengineo watakaojisikia kutoa neno kwenye Bachelor club yetu.
Lakini pia kwenye side comments nawakaribisha kinadada walioko kwenye ndoa (angalau kwa mujibu wa maelezo yao) nyumba kubwa, gfsonwin, The secretary, Nakshi, cacico n.k watoe neno.
Lakini pia niwatambue mabachala hawa: Obe, Eiyer na wengineo.
Seriosly ni mjadala muhimu na wa wazi
Update
Mtambuzi kapost mada nzuri kuhusu ishu inayofanana na hii fuata hii link https://www.jamiiforums.com/mahusia...ata-mchumba-mwenye-tabia-uzitakazo%85%85.html
Last edited by a moderator: