Boniface92
Member
- Aug 13, 2012
- 61
- 7
Ningependa Jua kuhusu hili tafadhali:flypig:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok bro your welcome...naiman kama sio mzumbe basi ni udom utaenda piga hiyo mambo..ila msuli ni cha mwimu na usilogwe ukate tamaa....hasa kwa maneno ya wadau humu jamvin...na fanya research zaid mkaka!!!!!sante sana LORDVILLE .....maaana watu tushakuwa na pressure yan
maana rahisi ya statistics ni collection, organization, analysis, interpretation, and presentation ya data.sanasana statisticians wanahusika na experiments na surveys,anything dealing with quantity inaweza kufanywa na statistician ammbayo baaadae ndiyo inaleta majibu ya quality.kwa kweli statistics iko very very wide,na inaenda pamoja na utafiti.Nakuhakikishia kwamba ni kazi nzuri na inalipa,na kazi zake zinapatikana kwa wingi kwani Tanzania ina deficit ya statisticians........hakikisha kabla hujaamua,,uwe unazijua hesabu vizuri.........kwa maelezo zaidi tembelea National Bureau of Statistics Tanzania - NBS upate uelewa kuhusu kazi wanatakwimu wa tanzania wanazofanya......Muulize snochet akuelekeze
ahsante sana LORDVILLE wamenichagua hiyo course UDOM
wadau na kuhusu hii bsc in mathematics and statistics iko vipi,
Utaajiriwa REDET.
maana rahisi ya statistics ni collection, organization, analysis, interpretation, and presentation ya data.sanasana statisticians wanahusika na experiments na surveys,anything dealing with quantity inaweza kufanywa na statistician ammbayo baaadae ndiyo inaleta majibu ya quality.kwa kweli statistics iko very very wide,na inaenda pamoja na utafiti.Nakuhakikishia kwamba ni kazi nzuri na inalipa,na kazi zake zinapatikana kwa wingi kwani Tanzania ina deficit ya statisticians........hakikisha kabla hujaamua,,uwe unazijua hesabu vizuri.........kwa maelezo zaidi tembelea National Bureau of Statistics Tanzania - NBS upate uelewa kuhusu kazi wanatakwimu wa tanzania wanazofanya......
Pumbafu zako,,we taaahiraUtaenda kuhesabu samaki,dagaa,mbwa,kuku,mbu,vyura,bodaboda bila kusahau nazi.Magufuli atakuwa mwanafunzi wako