kwa nini haifai...tunaomba sababu?? na ni ipi inafaa??haifai hiyo
toa maelezo kama msomi kaka!! ni sawa haifai..ila kwanini haifai? na ni ipi inafaa na kwa nini??Umeingia choo kike broh!
Kama huyo Perry kanichefua sana huyo,toa hoja!
Jaman naomben ushaur kuhusu híi kozi ina future nzuri au vip.?