samahani wakubwa,naomba kufahamishwa kati ya hizo kozi mbili zinazotolewa katika vyuo vya mzumbe na SUA ni ipi nzuri ambayo naweza hata kujiajiri pindi nitakapomaliza masomo yangu?pia ile BA-economics ya udsm ni nzuri?asanten
Piga agro-economics ya sua dogo coz ni multpurpose yan unapga agriculture,busness na economics kwa wkt mmoja,hzo zingne co kivile,kutoka kwake ni hadi uwe na masters.
Kwanza,nakupongeza kwa kuwa na mawazo ya kujiajiri,pili,kwa ushauri wangu jaribu kusoma kitu ukipendacho!Katika elimu hakuna kitu kizuri kama unasoma kitu kilicho moyoni!Pesa na mafanikio ni matokeo ya juhudi katika kazi yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.