Daah asavali nimetulia!
Na biso na biso
:lol::lol::lol: Nilijua hapo ndio pa kukukamataMmmhhh umeanza mambo yako sasa
Halafu wewe SHAROBARO si ulikuwa umelalaChetu, babu anaruhusiwa kukutongoza kabla ya bethdei yako? Ili siku nikirusha sredi ya bethdei yako uwe na kamimba kasikotarajiwa. Vimimba vya namna hiyo unakuwahuna kichefuchefu na vinampenda sana baba ya mtoto....maana yake utajifungua Mama Salma Kikwete ajaye.
Sherii na lobi na nganayo etusi nabitoko na pasi na bikolosango nini? Etutana yango na yango.
Chetu, babu anaruhusiwa kukutongoza kabla ya bethdei yako? Ili siku nikirusha sredi ya bethdei yako uwe na kamimba kasikotarajiwa. Vimimba vya namna hiyo unakuwahuna kichefuchefu na vinampenda sana baba ya mtoto....maana yake utajifungua Mama Salma Kikwete ajaye.
Duh!!! Aisee mbona itakuwa balaaUmefurahia eeehhh haya ngoja bado three weeks tu nitie timu
Sherii na lobi na nganayo etusi nabitoko na pasi na bikolo
Babu jamani naona aibu jamvini.
Ahahahaaa nishachora chini kwa mguu.Mbona sijakuona uking'ata unyasi?
Ahahahaaa nishachora chini kwa mguu.
chetuntu na asprin taratibu hapo juuAhahahaaa nishachora chini kwa mguu.
Aisee itakuwa imekaa vizuri sanaTena naweza rudisha nyuma kama 9th April hivi kama hakitabadilika kitu
chetuntu na asprin taratibu hapo juu