Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Dah!!jana usiku nilikua angle flani chafu chafu na kimeo kimoja hivi tunapunguziana stress za maisha,mara cmu ya mchuchu wangu wa ukweli ikaingia,nikasogea pemben nikapokea fresh,tukaongea mengi,mwisho wa maongez my honey akaniambia hayo maneno hapo juu.dah!kikweli nilijishtukia kinoma na nikamuonea huruma sana mtoto wa watu,ananipenda sana ila me cjui nina pepo gan aliyeniteka.asa najiulza,ivi nae yawezekana akawa ananicheat ndo maana kila nkiongea nae ananiambia hayo maneno ili kunizuga au yanatoka moyon kweli?naomba anae elewa chemistry ya hawa viumbe anisaidie kunidadavulia.