First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Sio siri ni kama siamini the way umaarufu wa Babu yangu wa Samunge Loliondo unavopotea, nasema hivi kwani alishika chati ktk vyombo vya habari na kuaminika na wengi mimi nikiwa mmojawapo(ingawa sikubatika kwenda kukitandika kikombe)
Sio hapo tu, kwetu ilikuwa matatizo kwani hata suala la usafiri lilikuwa gumzo sana kiasi cha nauli kupanda kutokana na uhaba wa magari.
Nakumbuka hata viongozi wa nchi na dini walijazana loliondo, mataifa mbalimbali yalifika Samunge,
Mhhhhh!!!!!
Mbona ghafla najishitukia hasikiki?
Hivi waliokuwa wameenda wagonjawa walipona?
Wako baadhi ya watu waliosema yule hakuwa mkweli akiwapo mamaangu,
waliomkataa kabisa wakiwamo viongozi wa kanisa ninalosali!!!!!
Swali langu,
Hivi babu bado yupo au ameacha kazi?
Hivi kuna watu bado wanaenda kupata kikombe?
Sio hapo tu, kwetu ilikuwa matatizo kwani hata suala la usafiri lilikuwa gumzo sana kiasi cha nauli kupanda kutokana na uhaba wa magari.
Nakumbuka hata viongozi wa nchi na dini walijazana loliondo, mataifa mbalimbali yalifika Samunge,
Mhhhhh!!!!!
Mbona ghafla najishitukia hasikiki?
Hivi waliokuwa wameenda wagonjawa walipona?
Wako baadhi ya watu waliosema yule hakuwa mkweli akiwapo mamaangu,
waliomkataa kabisa wakiwamo viongozi wa kanisa ninalosali!!!!!
Swali langu,
Hivi babu bado yupo au ameacha kazi?
Hivi kuna watu bado wanaenda kupata kikombe?