Babuuuuuuu!!!!

First Born

JF-Expert Member
Jul 11, 2011
5,310
1,473
Sio siri ni kama siamini the way umaarufu wa Babu yangu wa Samunge Loliondo unavopotea, nasema hivi kwani alishika chati ktk vyombo vya habari na kuaminika na wengi mimi nikiwa mmojawapo(ingawa sikubatika kwenda kukitandika kikombe)
Sio hapo tu, kwetu ilikuwa matatizo kwani hata suala la usafiri lilikuwa gumzo sana kiasi cha nauli kupanda kutokana na uhaba wa magari.
Nakumbuka hata viongozi wa nchi na dini walijazana loliondo, mataifa mbalimbali yalifika Samunge,
Mhhhhh!!!!!
Mbona ghafla najishitukia hasikiki?
Hivi waliokuwa wameenda wagonjawa walipona?



Wako baadhi ya watu waliosema yule hakuwa mkweli akiwapo mamaangu,
waliomkataa kabisa wakiwamo viongozi wa kanisa ninalosali!!!!!


Swali langu,
Hivi babu bado yupo au ameacha kazi?
Hivi kuna watu bado wanaenda kupata kikombe?
 
Kweli kapotea ghafla......au wagonjwa wote wamepona na idadi inayokwenda samunge imepungua...
 
Sio siri ni kama siamini the way umaarufu wa Babu yangu wa Samunge Loliondo unavopotea, nasema hivi kwani alishika chati ktk vyombo vya habari na kuaminika na wengi mimi nikiwa mmojawapo(ingawa sikubatika kwenda kukitandika kikombe)
Sio hapo tu, kwetu ilikuwa matatizo kwani hata suala la usafiri lilikuwa gumzo sana kiasi cha nauli kupanda kutokana na uhaba wa magari.
Nakumbuka hata viongozi wa nchi na dini walijazana loliondo, mataifa mbalimbali yalifika Samunge,
Mhhhhh!!!!!
Mbona ghafla najishitukia hasikiki?
Hivi waliokuwa wameenda wagonjawa walipona?



Wako baadhi ya watu waliosema yule hakuwa mkweli akiwapo mamaangu,
waliomkataa kabisa wakiwamo viongozi wa kanisa ninalosali!!!!!


Swali langu,
Hivi babu bado yupo au ameacha kazi?
Hivi kuna watu bado wanaenda kupata kikombe?

Kuwa mfuatiliaji utajua habari za babu za kila siku!
Unaona ajabu gani habari za babu kutoandikwa magazetini?
Magazeti yenyewe haya ya kibongo, hata hayaendi kwenye grassroot kujua chanzo au mwisho wa habari!
Labda uniambie kwanza kama unaendelea bado kuona na kusikia habari za:
-Dowans(ambazo kabla ya Babu zilikuwa zikitamba mno!
-Habari ya siku 90 za Nape na wenzake
-Habari za EPA
-Habari za Jairo za juzi tu, tayari zimefifia..upo?

Sikuelewi kama ulitaka ishu ya babu iwe ya kudumu!, labda uulize unachotaka kufahamu tukusaidie!
 
Kuwa mfuatiliaji utajua habari za babu za kila siku!<br />
Unaona ajabu gani habari za babu kutoandikwa magazetini?<br />
Magazeti yenyewe haya ya kibongo, hata hayaendi kwenye grassroot kujua chanzo au mwisho wa habari!<br />
Labda uniambie kwanza kama unaendelea bado kuona na kusikia habari za:<br />
-Dowans(ambazo kabla ya Babu zilikuwa zikitamba mno!<br />
-Habari ya siku 90 za Nape na wenzake<br />
-Habari za EPA <br />
-Habari za Jairo za juzi tu, tayari zimefifia..upo?<br />
<br />
Sikuelewi kama ulitaka ishu ya babu iwe ya kudumu!, labda uulize unachotaka kufahamu tukusaidie!
<br />
<br />
issue sio kufifia kwa taarifa za babu, lakini babu aliwahi kusikika akisema dunia nzima itamjua na kwamba atasikika sana, sasa mbona hata mwaka hajamaliza kapotea?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
issue sio kufifia kwa taarifa za babu, lakini babu aliwahi kusikika akisema dunia nzima itamjua na kwamba atasikika sana, sasa mbona hata mwaka hajamaliza kapotea?
<br />
<br />
Ndg yangu! Kuwa mwelewa,vyombo vya hbr ya kwe2 ina maana haujui? Jairo jana juzi habari yake nzito iliyo2fanya tuwe gizani mpaka leo imepotea kabisa,sasa wewe unaongelea ya Babu anayesikika mpaka na huko kusini mwa Africa. Fuatilia vyanzo vya hbr.
 
hata maarufu wa dunia hii huwa wanashuka umaarufu wao sembuse babu, watu bado wanaenda kupata kikombe sema ushabiki ndo umepungua sana, waliopana pia wapo na iliyowagomea nao wapo
 
Kuwa mfuatiliaji utajua habari za babu za kila siku!
Unaona ajabu gani habari za babu kutoandikwa magazetini?
Magazeti yenyewe haya ya kibongo, hata hayaendi kwenye grassroot kujua chanzo au mwisho wa habari!
Labda uniambie kwanza kama unaendelea bado kuona na kusikia habari za:
-Dowans(ambazo kabla ya Babu zilikuwa zikitamba mno!
-Habari ya siku 90 za Nape na wenzake
-Habari za EPA
-Habari za Jairo za juzi tu, tayari zimefifia..upo?

Sikuelewi kama ulitaka ishu ya babu iwe ya kudumu!, labda uulize unachotaka kufahamu tukusaidie!

Asante sana Paka, nilikuwa nasubiri ufanye hii kazi ya kuelimisha.

Yaani kwa sababu kitu fulani hujakisikia au kukiona ndio kusema hakipo?
 
Asante sana Paka, nilikuwa nasubiri ufanye hii kazi ya kuelimisha.<br />
<br />
Yaani kwa sababu kitu fulani hujakisikia au kukiona ndio kusema hakipo?
<br />
<br />
we mtata, una maana gani?
 
hata maarufu wa dunia hii huwa wanashuka umaarufu wao sembuse babu, watu bado wanaenda kupata kikombe sema ushabiki ndo umepungua sana, waliopana pia wapo na iliyowagomea nao wapo
<br />
<br />
mbona hatusikii ushuhuda?
 
Me nadhani watu wameamua kuacha kwenda kutokana na kuwepo kwa minong'ono kwamba watu hawaponi. Hiyo inatosha kabisa kuuzima umaarufu wa babu yake 1st born.
 
Back
Top Bottom