Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
Wajanja wanapopewa chai na kuambiwa ni dawa. Kweli watanzania tumeanza kufirisika kimawazo kila jambo TUTALIAMINI kwa kuwa hakuna pa kushika.
Yaani huyon jamaa mwenye kikombe chekundu ni kama anasema"" tayariiiii""" maaana unaweza kukuta kasubili kwa wiki saba.
Thidanganyikiiiiiiiiiiiiii na manabii wa uongo waliotabiliwa kwenye bibilia....
dah mkuu umeniacha hoi.... alafu jamaa anamuwekea babu kikombe kwa unyenye kevu wote..anda: