Mwekezaji huyu Saza chunya ni kero,toka amefika hapa anapakia mchanga wa dhahabu na kuondoka nao,sasa yale mashimo tutafukia na nini mara madini yatakapoisha?wewe unaejiita diwani wananchi wako wananufaika vipi na mgodi huu uliopo kwenye kata yako.Diwani chukua hatua usiwe zoba