Wanahabari wote wameshapata kikombe kwahiyo hawahitaji kwenda huko tena-no one to report.Muda sasa umepita mrefu kidogo bila kusikia habari za babu! Hivi, anaendelea kugawa vikombe? Na kwa nini hasikiki kwenye vyombo vya habari siku hizi kama zamani?
siyo waandishi hawaripot, wamesha ona dhambi waliyoiyengeneza kwa kusababisha vifo vya watanzania ambao wamekufa kwa sababu ya kalamu zao, kutangaza kuwa anatibu kisukari,na ukimwi kitu ambacho wamejikuta ni uongo sasa kutangaza ukweli wanaona aibu na kuendelea kutangaza uongo hawawezi kwani baada ya kuona waliokufa kwa sababu yao wanaogopa. Ivi leo ni miezi mingapi imepita toka wale watu 200 walio fanywa kama sample? mpaka leo kimya baada ya kujikuta hakuna dawa ila ni utapeli wa kimataifa unaendelea, mrema kamuulizeni kama anamabadiriko yoyote?Wanahabari wote wameshapata kikombe kwahiyo hawahitaji kwenda huko tena-no one to report.