Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
ngoja nifanye mpango wa kununua land cruser ya kubebea abiria
Amelenga kweli na huu mgomo wa madactari wengi tutakimbilia huko
Ni mjasiriamali mwenye hekima, anayejua kusoma alama za nyakati na trend ya soko.....hivi mapato yake yaliyomwezehs akununua gari na kujenga nyumba alilipa kodi ya mapato?
Duh!
Yangu macho,ila cha kufanya kwangu ni kumseach Ndallo tukaweke kambi pale Samunge tayari kwa biashara itakayotufaa pale!
Ndallo!!
Ntakuseach muda wowote babu akianza mwujiza wake!
ngoja nifanye mpango wa kununua land cruser ya kubebea abiria
Hatuna cha kufanya zaidi ya kuusubiri huo muujiza!..we therefore cross our fingers!
mkuu wewe na babu kuna uhusiano gani?????akijadiliwa naona unapanic sana!
hapo ndipo nashindwa kupata tafsiri halisi ya shetani,..........maake kwa wale wanaoamini wamepona wanasema ni Mungu na wale wasioamini wanasema ni shetani,.....anyway_hata mimi siamini ila siwezi kutamka for sure kuwa ni shetani.
Babu ni mbabaishaji na mimi naona kama ni ishara ya shetani kuangalia kama akiibua kitu ni vipi anaweza kuwateka wanadamu kupitia miujiza feki.
Huyu Babu kwa nini asikamatwe na kutiwa ndani akaozee huko.
hahaha!Mwujiza mpya umekuja wakti muafaka kwani mgomo wa madaktari unatishia tiba. Serikali yetu kwa mbinu!