IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,452
- 7,357
Huyu Babu kwa nini asikamatwe na kutiwa ndani akaozee huko.
kwa kosa lipi_au kwa sababu ya ubabu/ukongwe wake?...nyie ndio mnaoua vikongwe bila sababu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Babu kwa nini asikamatwe na kutiwa ndani akaozee huko.
Huyu Babu kwa nini asikamatwe na kutiwa ndani akaozee huko.
Mimi nahisi ni bora tukachukua mfano wa Babu kama mbunifu wa miradi tofauti, lakini kumshutumu nahisi kama tunakosea kwani kila mtu ana akili ya kufikiri kwahiyo mtu anayepeleka 500 yake kwa babu ni kutokana na uamuzi wake mwenyewe ambao tunauita ni uamuzi uliofanywa na mtu mwenye akili timamu, sasa vipi lawama tumtupie Babu, ni watu wangapi ambao wanatumia hela kwa kwenda kwenye burudani au kuhonga bila ya sababu ya msingi, kwahiyo matumizi yoyote mtu anayoyafanya kwa babu naamini ni halali tu, yeye kama mbunifu wa mawazo ya kutafuta hela kulingana na uwezo wa baadhi ya waTanzania wanaekubaliana naye, basi hatuna ila zaidi wengine kubaki kuwa waangaliaji. Ni kama mtu ukinunua kanda ya muziki wa rap za kimarekani ambayo hata huelewi kinachosemwa, mwisho wa yote ni burudani tu, Basi naombeni wenzangu tumuweke Babu katika kundi la watoa Burudani, kama unahisi hukubaliani naye kuwa hana miujiza wala dawa inayotibu.
kwa kosa lipi_au kwa sababu ya ubabu/ukongwe wake?...nyie ndio mnaoua vikongwe bila sababu.
Utapeli wa kikombe ume-expire sasa unaandaliwa utapeli mwingine mpya. HATUDANGANYIKI!
babu kaibuka tena, tunasubiri muujiza...
ata mimi huyo jamaa simuelewi..eti atiwe ndani wakati anatibu babu wawatu.[/QUOTE]
hapo sasa_kama ndio hivyo basi hao wa muhimbili inabidi nao wakamatwe,..maake watu wengi wapo vyumba vya kuhifadhia maiti wakati walienda/ wako hospital kwa matumaini ya kupona.
ata mimi huyo jamaa simuelewi..eti atiwe ndani wakati anatibu babu wawatu.[/QUOTE]
hapo sasa_kama ndio hivyo basi hao wa muhimbili inabidi nao wakamatwe,..maake watu wengi wapo vyumba vya kuhifadhia maiti wakati walienda/ wako hospital kwa matumaini ya kupona.
pia amesema utafiti ulionesha ni dawa isiyo na na madhara na ulithibitisha uwezekano wa kutibu magonjwa mengi zaidi.
Hatuna cha kufanya zaidi ya kuusubiri huo muujiza!..we therefore cross our fingers!
ivi wale walioenda kwa babu mbina hawajitokezi wakasema kuwa wamepona?
cha kusikitisha zaidi ni kuwa huyu mtu alikuwa endorsed na kanisa.