Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
Kwa kuwa hatua ya awali ya kuoteshwa juu ya dawa ya kutibu magonjwa sugu imefanikiwa...
Sasa kinachofuata ni hatua ya pili.... hii itausisha na ndoto ya babu ya rais ajeye, ambaye atatokea maeneo ya umasaini... nywele yeupe kama theruji... huvaa miwani ( kwa hatua hiyo yeye atakuwa anajifanya hamjui mtu mwenyewe ... ila atawaachia wapiga kura wenyewe wamjue na wengi wao watakaompigia muhusika ni wale ambao wameamini na kunywa chai ya babu )
Nawasilisha
Subirini
Sasa kinachofuata ni hatua ya pili.... hii itausisha na ndoto ya babu ya rais ajeye, ambaye atatokea maeneo ya umasaini... nywele yeupe kama theruji... huvaa miwani ( kwa hatua hiyo yeye atakuwa anajifanya hamjui mtu mwenyewe ... ila atawaachia wapiga kura wenyewe wamjue na wengi wao watakaompigia muhusika ni wale ambao wameamini na kunywa chai ya babu )
Nawasilisha
Subirini