MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
nilikuwa mbeya siku moja watu niliokuwa nao wakaanza kujadili juu ya mchungaji mwaisapile eti kuwa wagonjwa wengi walio pata kikombe sasa wanakufa kwa kasi, wakaanza kutaja watu katika mtaa wao (uyole) walio toka kwa babu na mpaka sasa wamesha fariki.
pia nimewahi kusikiliza mahubiri ya msabato fulani kupitia cd yake naye anashuhudia mambo mengi ya kichawi na anasema watu wote waliopata kikombe kwa babu watakufa baada ya muda fulani, na akasema yeye anadawa ya kutoa sumu ya mchungaji.
wewe unasemaje?
pia nimewahi kusikiliza mahubiri ya msabato fulani kupitia cd yake naye anashuhudia mambo mengi ya kichawi na anasema watu wote waliopata kikombe kwa babu watakufa baada ya muda fulani, na akasema yeye anadawa ya kutoa sumu ya mchungaji.
wewe unasemaje?