huo mti kama unajulikana si wachukue sample waifanyie utafiti ina kitu gani? tatizo kuna nguvu za maombi ndio dawa ifanye kazi sasa hapo sijui wizara ya afya ina role gani.. kwa kua wanatumia kodi zetu kwa ajili ya hiyo safari cha maana waweke vizuri mazingira ili kujiandaa kwa ajili ya magonjwa ya mlipuko ambayo yanaweza kulipuka huko kutokana na uwingi na mikusanyiko wa watu
mkuu yule mzee haponyi NI IMANI YAKO WEWE NA MUNGU WAKO, KUMBUKA NYOKA WA SHABA WA MOSES WALIOITAZAMA WAKAPONA!Jamani mi nimeona vitu lakini hiki cha loliondo kimenishtua sana, kwasababu Mzee huyu ni wa ajabu na ameweza kujipatia njia nzuuurii ya kutafuta Pesa bila kutumia unyang'anyi wala Ndumba, bali kwa kutumia Akili yake.
Hakuna uthibitisho wa kisayanxzi kwamba dawa hiyo inaponesha, na kimachoshangaza Eti Dawa hiyo huponi ukichota mwenyewe mpaka achote kwa mkono wake.
naomba tuwege makini, na naomba uthibitisho ili na mimi niende bana
Eti wadau ni njia ya kutafuta Ela au Dawa kweli?
Felister,
1. Wagonjwa wenye shida ambao hawana nauli watafikaje kwa babu kama yeye peke yake
ndie anayetoa hiyo dawa na si mwingine?
2. Southern countries ndio zilizoathirika sana kwa ugonjwa wa UKIMWI, are you telling me all
those people should come to TZ to get this treatment from him ONLY?
3. Kama kweli hii dawa Mungu ndiye aliyemfunulia, vipi kuhusu wagonjwa ambao wanafia
njiani wakielekea huko Loliondo? Hawakustahili kupata hii dawa ili wapone?
4. How come we only hearing story from people but we havent actually see someone who got
healed, utasikia tu mtoto wa rafiki yangu, mama yake rafiki yangu, mjomba wangu
anayekaa mbeya etc?
Kupima ufanisi wa kitu kuna njia nyngi: mfano, ufanisi wa mkandarasi unaweza kupimwa kwa kupima ubora wa jengo au barabara aliyojenga na si kukagua vyeti vyake au zana alizotumia. Nawashauri wapime wagonjwa kama wamepona au la.
Jamani mi nimeona vitu lakini hiki cha loliondo kimenishtua sana, kwasababu Mzee huyu ni wa ajabu na ameweza kujipatia njia nzuuurii ya kutafuta Pesa bila kutumia unyang'anyi wala Ndumba, bali kwa kutumia Akili yake.
Hakuna uthibitisho wa kisayanxzi kwamba dawa hiyo inaponesha, na kimachoshangaza Eti Dawa hiyo huponi ukichota mwenyewe mpaka achote kwa mkono wake.
naomba tuwege makini, na naomba uthibitisho ili na mimi niende bana
Eti wadau ni njia ya kutafuta Ela au Dawa kweli?
Mkuu kwani wewe unadhani serikali inafanya hivyo kujua kama dawa hiyo inacontents za kutibu tu au inaangalia pia kama hizo dawa hazina madhara kwa mtumiaji?kwani watawalazimisha? Si watafute ambao wako tayari kufanyiwa vipimo? Kama wanaweza kushuhudia wamepona kwenye vyombo vya habari wataacha ku colaborate na serikali?
..Serikali inajichanganya juzi walikuwa wanamuhoji mkuu wa wilaya ya ngorongoro akadai kuwa huyo mzee alianza kutoa hiyo tiba tangu mwaka jana ingawaje si watu wengi waliokuwa wakijua na wao kama uongozi wa wilaya baada ya kupata hizo taarifa walifatilia na sample ya hiyo dawa ilipelekwa Muhimbili kitengo cha madawa asilia tangu mwaka jana na hadi hii leo hawajatoa majibu...sijui kimebadirika nini mpaka wanataka kuifanyia utafiti kwa mara nyingine hiyo dawa.Utafiti huo utachukua miaka mingi, na huenda matokeo yasitolewe hadharani..