Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,489
- 79
hapo unakosea mkuu,Bibie, tuna uhakika kwamba babu seya na papii wamebaka, na tunaweza kuwaita wabakaji bila shaka yeyote, mahakama ya juu kabisa ishathibitisha.
tatizo watanzania mtu akishakua maarufu tunamfia kabisa, au ndio dawa wanazoendea kwa waganga walikoambia wabake, ndio zinatupumbaza?
ushahidi umethibitisha bila shaka kwamba wawili walibaka, sasa mnang'ang'ania mbona wengine wameachiwa, kama hamna ushahidi wa kutosha wafungwe tu?
mzee Nguza alisema roho yake chukueni ila watoto wake waachieni (if and only if you want to destroy him).
As long as the government has decided to punish him, its well and good. The government of CCM will never be in power forever. I know someday, though not so soon but it will come to pass.
Tanzanians will be free in deed. Now we are just living under the shadow of a so called 'fake democracy'
sorry guys, thats my opinion!