Babu loliondo na stone age period!!!!!

kunyweni dawa,theres no problem in trying alternative medicine,afterall haicost kitu zaidi ya jero,kama haifanyi kazi then unaangalia ustaarabu mwengine at least umejaribu lakini....:smash:
Unaangalia ustaarabu mwengine when ur dead already, sikatai watu wanywe lakini waendelee na dawa zao za hospitali jamani.
 
kunyweni dawa,theres no problem in trying alternative medicine,afterall haicost kitu zaidi ya jero,kama haifanyi kazi then unaangalia ustaarabu mwengine at least umejaribu lakini....:smash:

Roselyne,

What if huo mti ukawa na sumu fulani inayodhuru mwanaadamu, au maji wanayokunywa yana vijidudu fulani, au mazingira ya maji yanweza kuleta maradhi fulani je ikitokea janga mtasemaje? Na tukianza kubeza mambo kama haya nakuhakikishia tunajiandaa na janga kwani ataibuka tu mtu na kuwaambia wafuasi wake kuwa ametumwa na mungu na wanatakiwa wafe ili waende kwa mungu sijui tutazungumza nini hapo!
 
Halafu huyu mchungaji kama alioteshwa na Mungu ili atibu watu, ina maana hoyo Mungu amemlazimisha atibie wagonjwa huko kwake? kwani hawezi kuja Arusha mjini penye maji, na huduma mbalimbali kama hoteli na migahawa ya kutosha? inakuaje huyo Mungu amlazimishe kutibia watu porini kusiko na maji wala huduma bora za kijamii? yaani huyo Mungu wake anataka watu wapone au wafe kwa kuharisha na kukaa ktk foleni ndefu?

jamani tuache ushabiki wa kidini na tuamke kukemea maovu!!!!

Jiulize kwanini mungu alimuacha mtume Mhamad afanyie shughuli zake jangwani (uarabuni) kwenye ukame watu walipata tabu ya maji kwanini asinge mwamishia tukuyu kwenye maji na mvua through out the year? (MUNGU HAPANGIWI JINSI YA KUFANYA KAZI)
 
Unaangalia ustaarabu mwengine when ur dead already, sikatai watu wanywe lakini waendelee na dawa zao za hospitali jamani.

mnh wengi wanaoenda, dawa za hospitalini washajaribu sana tu,wanachofanya ni kujaribu kuona hio dawa itawafaa,with time mtu atajua kama inamfaa au haimfai ili aswitch back kwa madawa ya hospitalini!,kila mtu na afanye analoona linamfaa ukifa in the process hayo ni matokeo hizo dawa za hospitalini sio kwamba ukitumia hufi!
 
Ikiwa Leo tuko karne ya 21 ya Teknologia na maendeleo ya kiwango cha juu ktk nyanja mbali mbali kama vile tiba kulinganisha na karne zilizopita, nimasikitiko na majonzi makubwa kwa baadhi ya Watanzania wenzetu hasa hao wanaojiita Viongozi wa Dini kutaka kuturudisha Enzi za Mawe au enzi za falsafa za Vita vya MajiMaji!!!! kwa kutuletea Tiba zinazotokana na Ndoto au Maono toka Mbinguni!!!!

La kusikitisha zaidi Serikali yetu inapokubali shingo upande huduma kama hiyo iendelee kutolewa huku ikijulikana wazi kabisa ubora wa dawa hiyo ni wa hali ya chini na inayotolewa ktk mazingira machafu kabisa ya kutumia kikombe alichotumia mgonjwa mwingine!! Nchi hii ina Madaktari bingwa waliobobea ktk fani zao, Waganga na Wataalamu mbali mbali wenye Ma PHD, Digrii sasa iweje Mchungaji mmoja tu ajitokeze na kudai kaoteshwa na Mungu mwaka 1991!! halafu tiba yake anakuja ianza mwaka 2011?????

Tumeshuhudia wagonjwa wengi kupoteza maisha baada ya kunywa dawa hiyo na wengine wataendelea kufa huku Serikali ikishindwa kuchukua hatua muafaka kwa kuhofia shinikizo toka kwa baadhi ya watu wanaofaidika na mradi huo uliobuniwa na baadhi ya Vigogo wenye maslahi yao!!!

Kama Serikali itakubali huduma hii PRIMITIVE iendelee kutolewa na huyu Mchungaji basi tukubali kuwa nchi yetu imeamua kurudi ktk Enzi za STONE AGE na Elimu ya Tiba za kisasa zenye kutegemea LABORATORY EQUIPMENTS zitakuwa hazina faida tena na kutakuwa hakuna haja ya kuwaelimisha Watoto wetu Elimu ya Tiba za Kisasa na badala yake tuwe wategemezi wa NDOTO ZA USIKU TOKA MBINGUNI!!!!!!!!!

Wakati umefika sasa SERIKALI iamke na kuchukua hatua za haraka kuzuia hekaya hizi za kizamani za kutegemea Ndoto au tabiri za Wachungaji, Mashehe au Waganga wa Kienyeji kwani sasa wanakotupeleka kuna giza kuu!!!!

Wewe kama sio Kakobe basi kakutuma. Mimi nachojua sio lazima kwenda kwa babu kama unaona mazingira hayo usiende wewe na ndugu na jamaa zako. Nilikua napita tu
 
Gazeti la The African la leo limeandika kwamba network moja inayoshughulikia wale wenye kuishi na HIV/AIDS iitwayo NURU inapinga tiba ya ajabu ya babu huyu na imesema tiba yake haina scientific proof na hivyo inaweza kuwasukuma watu wakaanza kubadilisha behaviour kwa kushiriki tena ngono bila kinga.

Halafu kuna wasiwasi kwamba nchi zinazotufadhili kwa madawa ya ARV wanaweza kusitisha kuendelea kutoa misaada hiyo kwa kuwa dawa tayari imepatinakana. Na kama hii tiba itakapojulikana hapo baadaye kuwa ni fix tu watakataa tena kutupa misaada ya dawa hizo.
 
Roselyne,

What if huo mti ukawa na sumu fulani inayodhuru mwanaadamu, au maji wanayokunywa yana vijidudu fulani, au mazingira ya maji yanweza kuleta maradhi fulani je ikitokea janga mtasemaje? Na tukianza kubeza mambo kama haya nakuhakikishia tunajiandaa na janga kwani ataibuka tu mtu na kuwaambia wafuasi wake kuwa ametumwa na mungu na wanatakiwa wafe ili waende kwa mungu sijui tutazungumza nini hapo!


mnh hapa hatuongei tu kinadharia bila kuwa na outcome/results ya hio dawa,tunao real people walioPONA kutokana na hio dawa,so kusema/kuassume hio dawa ina madhara ni sumu nadhani tunakosea...so far hakuna aliyekunywa AKAFA?i dont expect hio dawa iwe perfect 100% sababu hata hizi dawa za hopitalini zina side effect ,ila kama inaponya sioni sababu watu wawe denied kuinywa,kuna kufa na kupona hata kwa dawa za hopitalini...ni kugamble tu!:juggle::juggle:
 
Halafu huyu mchungaji kama alioteshwa na Mungu ili atibu watu, ina maana hoyo Mungu amemlazimisha atibie wagonjwa huko kwake? kwani hawezi kuja Arusha mjini penye maji, na huduma mbalimbali kama hoteli na migahawa ya kutosha? inakuaje huyo Mungu amlazimishe kutibia watu porini kusiko na maji wala huduma bora za kijamii? yaani huyo Mungu wake anataka watu wapone au wafe kwa kuharisha na kukaa ktk foleni ndefu?

jamani tuache ushabiki wa kidini na tuamke kukemea maovu!!!!

Zubeda ;

Tujikumbushe kidigo hoja ... hiyo kwenye red...

...and am coming back soon!!

GONGA HAPA ..https://www.jamiiforums.com/jf-doct...wa-loliondo-afanyie-shughuli-zake-arusha.html
 
mnh hapa hatuongei tu kinadharia bila kuwa na outcome/results ya hio dawa,tunao real people walioPONA kutokana na hio dawa,so kusema/kuassume hio dawa ina madhara ni sumu nadhani tunakosea...so far hakuna aliyekunywa AKAFA?i dont expect hio dawa iwe perfect 100% sababu hata hizi dawa za hopitalini zina side effect ,ila kama inaponya sioni sababu watu wawe denied kuinywa,kuna kufa na kupona hata kwa dawa za hopitalini...ni kugamble tu!:juggle::juggle:

Tunaomba mtuambia hao walioopona kina nani na walikuwa na magonjwa gani mwanzoni na sasa wamepona?
 
mnh wengi wanaoenda, dawa za hospitalini washajaribu sana tu,wanachofanya ni kujaribu kuona hio dawa itawafaa,with time mtu atajua kama inamfaa au haimfai ili aswitch back kwa madawa ya hospitalini!,kila mtu na afanye analoona linamfaa ukifa in the process hayo ni matokeo hizo dawa za hospitalini sio kwamba ukitumia hufi!

Tena mavidonge yenyewe meengi ukikoroga ugali washiba!
 
Watu wanakula vyakula ovyo bila mpangilio na kunywa pombe kila saa huku wakikamilisha kwa ngono hatari wataacha kuuguwa? halafu wanataka kunywa kikombe kimoja cha dawa ili wapone!! hakuna njia ya mkato, watu waache kubugia ovyo na mazoezi sana ili kuhifadhi afya zetu! yaani Watz tnavyopenda vya mteremko!!
 
.....pindi Mwenyeezi Mungu akiamua jambo huliamuru "kuwa" na kisha huwa (likifuata kanuni zote za kimaumbile)...ametukuka kwa sifa za uumbaji
 
Jiulize kwanini mungu alimuacha mtume Mhamad afanyie shughuli zake jangwani (uarabuni) kwenye ukame watu walipata tabu ya maji kwanini asinge mwamishia tukuyu kwenye maji na mvua through out the year? (MUNGU HAPANGIWI JINSI YA KUFANYA KAZI)

acha kuibua ushabiki wa kidini hausaidii chochote jibu hoja kama huwezi sio lazima, mtoa mada hoja alizotoa hazikuegemea dini, sasa wewe huko unakokwenda mi naona kwengine wala hakuhusiani kabisaa na mada hii. Jamii iliostaarabika haiwezi kuishi kwa ndoto za viongozi wa dini, akina Kibwetere walianza hivyo hivyo
 
Halafu huyu mchungaji kama alioteshwa na Mungu ili atibu watu, ina maana hoyo Mungu amemlazimisha atibie wagonjwa huko kwake? kwani hawezi kuja Arusha mjini penye maji, na huduma mbalimbali kama hoteli na migahawa ya kutosha? inakuaje huyo Mungu amlazimishe kutibia watu porini kusiko na maji wala huduma bora za kijamii? yaani huyo Mungu wake anataka watu wapone au wafe kwa kuharisha na kukaa ktk foleni ndefu?

jamani tuache ushabiki wa kidini na tuamke kukemea maovu!!!!

Kwa nini Yesu alikuja kuzaliwa kwenye familia masikini ya Yusuph kwanini asiende kuzaliwa ktk familia za kifalme kwa kipindi kile?? Mwache Mungu aitwe Mungu yeye hujiinua pale usipotarajia na ana makusudi na loliondo
 
Zubeda acha polojo nenda kwa babu kapate kikombe usione aibu..................siasa na imani wapi na wapi?
 
Zubeda hapana! Wezangu wengi wamechangia vyema kabisa kukukosoa katika hili. Fahamu kuwa karibu dawa zote duniani zinatokana na miti! Hao watafiti wa kimangaribi unaowasemea wamechukua miaka mingi kutafiti hiki na kile kupata hizo dawa zao. na usisahau unawapigia debe haw a ma multinationals ambao wana hati miliki ya karibu kila dawa inayotengenzwa hapa duniani. Ujio wa Babu ni tishio kwao kwa hivyo watatumia kila mbinu ku-waterdown hii tiba kwa kuwatumia watu mbali mbali ukiwemo! Babu natumia simple technology tu na unaiona kwa macho unavyokuchemshia, anakuchotea ananuizia maneno yake alivyooteshwa na kukunywesha basi! Kwako wew mpaka upite kwenye vifaa maalum. Tuliozaliwa miaka ya huko nyuma hii ndiyo inaeleweka vizuri zaidi. Mimi ni mkatoliki naamini padre anaponipa komunyo ananiambia Mwili wa Kristo nakuipokea! Kwa hivyo haya anayoyafanya Babu kwa yeyote anaekubali tiba yake imani yake itamponya. Tuawache Watanzania wapate hii tiba mbadala. Mjomba wangu ameenda matatizo ya moyo Kapona kabisa na vidonge alivyokuwa akitumia kaacha.Zubeda Upoo?
 
ikiwa leo tuko karne ya 21 ya teknologia na maendeleo ya kiwango cha juu ktk nyanja mbali mbali kama vile tiba kulinganisha na karne zilizopita, nimasikitiko na majonzi makubwa kwa baadhi ya watanzania wenzetu hasa hao wanaojiita viongozi wa dini kutaka kuturudisha enzi za mawe au enzi za falsafa za vita vya majimaji!!!! Kwa kutuletea tiba zinazotokana na ndoto au maono toka mbinguni!!!!

La kusikitisha zaidi serikali yetu inapokubali shingo upande huduma kama hiyo iendelee kutolewa huku ikijulikana wazi kabisa ubora wa dawa hiyo ni wa hali ya chini na inayotolewa ktk mazingira machafu kabisa ya kutumia kikombe alichotumia mgonjwa mwingine!! Nchi hii ina madaktari bingwa waliobobea ktk fani zao, waganga na wataalamu mbali mbali wenye ma phd, digrii sasa iweje mchungaji mmoja tu ajitokeze na kudai kaoteshwa na mungu mwaka 1991!! Halafu tiba yake anakuja ianza mwaka 2011?????

Tumeshuhudia wagonjwa wengi kupoteza maisha baada ya kunywa dawa hiyo na wengine wataendelea kufa huku serikali ikishindwa kuchukua hatua muafaka kwa kuhofia shinikizo toka kwa baadhi ya watu wanaofaidika na mradi huo uliobuniwa na baadhi ya vigogo wenye maslahi yao!!!

Kama serikali itakubali huduma hii primitive iendelee kutolewa na huyu mchungaji basi tukubali kuwa nchi yetu imeamua kurudi ktk enzi za stone age na elimu ya tiba za kisasa zenye kutegemea laboratory equipments zitakuwa hazina faida tena na kutakuwa hakuna haja ya kuwaelimisha watoto wetu elimu ya tiba za kisasa na badala yake tuwe wategemezi wa ndoto za usiku toka mbinguni!!!!!!!!!

Wakati umefika sasa serikali iamke na kuchukua hatua za haraka kuzuia hekaya hizi za kizamani za kutegemea ndoto au tabiri za wachungaji, mashehe au waganga wa kienyeji kwani sasa wanakotupeleka kuna giza kuu!!!!

sasa kama hizo za kisasa zimeshindwa?inakuaje hapo?
 
Back
Top Bottom