mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Mwera wewe naona ndo unapaswa kupimwa akili Yaani babu ashtakiwe wakati Hao wakumshtaki ndo wa kwanza kupata kikombe???????????????
kweli kabisaaa,mtu anayesumbuliwa na halucinations ni mgonjwa wa akili,pia ana delusional beliefs kwamba yeye ana superior powers ni charasteristics za pyschosis....bahati mbaya haya magonjwa ya akili hayajapewa mwanga wa kutosha ndio maana babu wa watu kapewa attention zaidi badala ya kupata medical attention.:alien:
Itabidi wote ikiwemo wewe pamoja na waliokutuma mkapimwe akili maana mna dalili zate za ukichaasipati picha siku ikijulokana babu alikuwa na matatizo ya akili hhahahaahaaaaah!
Smellie smelling thread!
Hakuna hata pumba kwny hii thread, maana pumba zina faida ya kulisha nguruwe!
Kama una wajukuu wahi nyumbani ukacheze nao!
acha kumeza wewe medical student.elewa...na ujue Kuna Mungu pia.