Babu Loliondo Apimwe Akili

Mwera wewe naona ndo unapaswa kupimwa akili Yaani babu ashtakiwe wakati Hao wakumshtaki ndo wa kwanza kupata kikombe???????????????
 
Technology wewe naona ndo unapaswa kupimwa akili Yaani babu ashtakiwe wakati Hao wakumshtaki ndo wa kwanza kupata kikombe???????????????
 
kweli kabisaaa,mtu anayesumbuliwa na halucinations ni mgonjwa wa akili,pia ana delusional beliefs kwamba yeye ana superior powers ni charasteristics za pyschosis....bahati mbaya haya magonjwa ya akili hayajapewa mwanga wa kutosha ndio maana babu wa watu kapewa attention zaidi badala ya kupata medical attention.:alien:


acha kumeza wewe medical student.elewa...na ujue Kuna Mungu pia.
 
Back
Top Bottom