Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
Hivi Serikali imefanya initiative zozote kumpima akili Mchungaji Mwasapile na je ni mtu anaetumia madawa ya kulevya au laa. Ni hatari saana kumuacha aendelee na huo mchezo wa kuwapa watu dawa ambayo inaweza kuja kuathiri afya za watu