Babu kachoshwa kapiga Neutral comment

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,374
Kingunge ashindwa kumshukuru Kikwete

KADA Mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru alishindwa kuzungumza "neno la shukurani" baada ya Rais Jakaya Kikwete kulihutubia taifa kupitia mkutano wa Wazee Mkoa wa Dar es Salaam.

Mzee Kingunge ambaye alikaa upande wa kushoto wa Rais Jakaya Kikwete wakati akihutubia Taifa juzi, alionekana kutokuwa tayari kusema neno hilo la shukrani licha ya Kaimu Mwenyekiti wa Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Brigedia Jenerali Hashim Mbita, kumsihi afanye hivyo.

Mbita aliyekuwa upande wa kulia wa Rais Kikwete, alisikika mara kadhaa kwenye kipaza sauti akimkaribisha Mwasisi huyo wa Chama, bila ya mafanikio .

Hata hivyo haikufahamika sababu za Kingunge kushindwa kutii ombi hilo ingawa alionyesha ishara ya kutokuwa tayari kufanya hivyo licha ya Mbita kuendelea kumsihi bila mafanikio.

Tukio hilo lilitokea wakati Brigedia Mbita alipokuwa akizingatia taratibu za kiitifaki za kutoa neno la shukrani baada ya Rais Kikwete kutoa hotuba.

Baada ya kitendo hicho kulionekana kuwepo kwa miguno kutoka kwa baadhi ya wazee waliohudhuria mkutano huo wakishindwa kuelewa kilichokuwa kikiendelea kwenye meza kuu.

Hatimaye baada ya jitihada za ushawishi kushindikana Mbita aliamua kutoa neno la shukrani kwa Rais Kikwete akibainisha kuwa hotuba yake imejaa nasaha nzuri na muhimu kwa Watanzania wote.

Katika hotuba hiyo Rais Kikwete alizungumzia mambo ambayo katika kipindi cha karibuni yamekuwa yanawagusa Watanzania wengi, yakiwemo yanayohusu matatizo ya kiuchumi na uundwaji wa katiba mpya.

Kuhusu uchumi, Kikwete aliwataka Watanzania kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho Tanzania na mataifa mengine duniani yanakabiliwa na athari za kiuchumi.

Miongoni mwa athari hizo alizozitaja ni pamoja na kasi ya mfumuko wa bei ambayo haijawahi kushuhudiwa katika historia ya nchi, kushuka kwa thamani ya shilingi, kupanda kwa bei ya mafuta na kuadimika kwa sukari inayozalishwa nchini kutokana na kuuzwa kimagendo kwa nchi jirani.

Alisema serikali yake iko mbioni kukabiliana na baadhi ya matatizo na moja wapo ni kuagiza sukari kutoka nje.

Lakini tatizo kama vile kupanda kwa bei ya mafuta na kushuka thamani ya sarafu huku dola ya kimarekani ikipaa, alisema ni tatizo kwa nchi nyingi duniani.

Kuhusu Katiba, Kikwete alipinga hoja zilizokuwa zikitolewa na Chadema pamoja na wanaharakati wa mabadiliko ya katiba.

Mojawapo ya hoja hizo, alisema wanapotosha kuwa suala la muungano limekatazwa kujadiliwa.

Ukweli alisema wanapinga kwenye mchakato wa kuandaa rasimu kujadili juu ya kuvunja muungano lakini wanaruhusu maoni ya namna ya kuuboresha.

Aliwahakikishia Watanzania kuwa katika mchakato wa kuandaa katiba hiyo, watakuwa huru katika kutoa maoni yao.

Lakini akaonyesha wasiwasi wake kuwa kuna makundi ya watu yanayoweza kuhamasisha watu juu ya mambo yenye maslahi kwao hivyo akaonya:

"Ninataka wananchi wawe huru. Mtu asilazimishwe la kusema."

Akijua wazi kuwa Chadema wamekuwa wakishinikiza mambo mbalimbali kwa maandamano kwa hoja ya kutumia nguvu ya umma, Kikwete akaonya:

"Jambo hili halihitaji maandamano… Vurugu hazina faida bali kuwaongezea machungu Watanzania. Hivyo naomba wawe na busara. Tuchague njia ya faraja. Tusichague njia ya machungu."


NIMEJIULIZA SIJAPATA JIBU HEBU WATAMBUZI NISAIDIENI MTAZAMO WENU!
 
Alitakiwa azungumze na vijana siyo wazee. Hebu fikiria kwa akili ya kawaida, mambo mengi sasa yanaendeshwa kwa mfumo wa kiteknolojia, mfano kijana akiwa na simu ya blackbery anakuwa ameweka dunia katika kiganja cha mkono, lakini the same blackbery ukimpa mzee kama kingunge ataitumia kupiga/kupokea simu na kutuma sms. Jk anakwepa changamoto za vijana na alaaniwe!
 
Aliamua kutii dhamira yake kwa mara ya kwanza katika maisha yake.Wana CCM wote hukiri kile wasichokiamini ili kulinda maslahi yao.
 
Kingunge ashindwa kumshukuru Kikwete

KADA Mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru alishindwa kuzungumza “neno la shukurani” baada ya Rais Jakaya Kikwete kulihutubia taifa kupitia mkutano wa Wazee Mkoa wa Dar es Salaam.

Mzee Kingunge ambaye alikaa upande wa kushoto wa Rais Jakaya Kikwete wakati akihutubia Taifa juzi, alionekana kutokuwa tayari kusema neno hilo la shukrani licha ya Kaimu Mwenyekiti wa Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Brigedia Jenerali Hashim Mbita, kumsihi afanye hivyo.

Mbita aliyekuwa upande wa kulia wa Rais Kikwete, alisikika mara kadhaa kwenye kipaza sauti akimkaribisha Mwasisi huyo wa Chama, bila ya mafanikio .

Hata hivyo haikufahamika sababu za Kingunge kushindwa kutii ombi hilo ingawa alionyesha ishara ya kutokuwa tayari kufanya hivyo licha ya Mbita kuendelea kumsihi bila mafanikio.

Tukio hilo lilitokea wakati Brigedia Mbita alipokuwa akizingatia taratibu za kiitifaki za kutoa neno la shukrani baada ya Rais Kikwete kutoa hotuba.

Baada ya kitendo hicho kulionekana kuwepo kwa miguno kutoka kwa baadhi ya wazee waliohudhuria mkutano huo wakishindwa kuelewa kilichokuwa kikiendelea kwenye meza kuu.

Hatimaye baada ya jitihada za ushawishi kushindikana Mbita aliamua kutoa neno la shukrani kwa Rais Kikwete akibainisha kuwa hotuba yake imejaa nasaha nzuri na muhimu kwa Watanzania wote.

Katika hotuba hiyo Rais Kikwete alizungumzia mambo ambayo katika kipindi cha karibuni yamekuwa yanawagusa Watanzania wengi, yakiwemo yanayohusu matatizo ya kiuchumi na uundwaji wa katiba mpya.

Kuhusu uchumi, Kikwete aliwataka Watanzania kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho Tanzania na mataifa mengine duniani yanakabiliwa na athari za kiuchumi.

Miongoni mwa athari hizo alizozitaja ni pamoja na kasi ya mfumuko wa bei ambayo haijawahi kushuhudiwa katika historia ya nchi, kushuka kwa thamani ya shilingi, kupanda kwa bei ya mafuta na kuadimika kwa sukari inayozalishwa nchini kutokana na kuuzwa kimagendo kwa nchi jirani.

Alisema serikali yake iko mbioni kukabiliana na baadhi ya matatizo na moja wapo ni kuagiza sukari kutoka nje.

Lakini tatizo kama vile kupanda kwa bei ya mafuta na kushuka thamani ya sarafu huku dola ya kimarekani ikipaa, alisema ni tatizo kwa nchi nyingi duniani.

Kuhusu Katiba, Kikwete alipinga hoja zilizokuwa zikitolewa na Chadema pamoja na wanaharakati wa mabadiliko ya katiba.

Mojawapo ya hoja hizo, alisema wanapotosha kuwa suala la muungano limekatazwa kujadiliwa.

Ukweli alisema wanapinga kwenye mchakato wa kuandaa rasimu kujadili juu ya kuvunja muungano lakini wanaruhusu maoni ya namna ya kuuboresha.

Aliwahakikishia Watanzania kuwa katika mchakato wa kuandaa katiba hiyo, watakuwa huru katika kutoa maoni yao.

Lakini akaonyesha wasiwasi wake kuwa kuna makundi ya watu yanayoweza kuhamasisha watu juu ya mambo yenye maslahi kwao hivyo akaonya:

“Ninataka wananchi wawe huru. Mtu asilazimishwe la kusema.”

Akijua wazi kuwa Chadema wamekuwa wakishinikiza mambo mbalimbali kwa maandamano kwa hoja ya kutumia nguvu ya umma, Kikwete akaonya:

“Jambo hili halihitaji maandamano… Vurugu hazina faida bali kuwaongezea machungu Watanzania. Hivyo naomba wawe na busara. Tuchague njia ya faraja. Tusichague njia ya machungu.”


NIMEJIULIZA SIJAPATA JIBU HEBU WATAMBUZI NISAIDIENI MTAZAMO WENU!

1.Hivi kikwete aliongea na wazee wa dsm kwa niaba ya watanzania wote au kwa niaba ya chama chake na wanaccm?
2. Hivi kikwete aliongea na wazee wa dsm kama Rais au kama m/kiti wa ccm?
Bado sijajua mandhari na maudhui ya hutuba ya kikwete kwa wazee wa dsm.
 
1.Hivi kikwete aliongea na wazee wa dsm kwa niaba ya watanzania wote au kwa niaba ya chama chake na wanaccm?
2. Hivi kikwete aliongea na wazee wa dsm kama Rais au kama m/kiti wa ccm?
Bado sijajua mandhari na maudhui ya hutuba ya kikwete kwa wazee wa dsm.

Aliwaambia wazee kuwa atasaini sheria ya kuunda rasimu ya katiba. Hapo nadhani utakuwa umeshajua alikuwa anaongea kama nani.
 
1.Hivi kikwete aliongea na wazee wa dsm kwa niaba ya watanzania wote au kwa niaba ya chama chake na wanaccm?
2. Hivi kikwete aliongea na wazee wa dsm kama Rais au kama m/kiti wa ccm?
Bado sijajua mandhari na maudhui ya hutuba ya kikwete kwa wazee wa dsm.

pale alitafuta audience ya kusemea tu ambayo haitambeza baada ya kushtushwa na waraka wa kumwambia akae pembeni
wajumbe wa nyumba kumi hawana la kufanya hivyo ndio maana walikuwepo
 
hakika hakuna..naona mzee anaona amalize siku zake kwa amani

Hana amani hapo mkuu, huyo mzee na wazee wenzake walioshiriki kuliasisi taifa hili na misingi yake (imara na legelege) na tena wakashiriki kuivuruga na kuiua misingi ile imara (Azimio la Arusha), wana mengi sana mioyoni mwao!

Kama hawatafanya toba na kulilia taifa hili na kuweka sawa kumbukumbu, hakika dhamiri zao zitawasumbua hata wakiwa wamekufa!
 
Kingunge ashindwa kumshukuru Kikwete

KADA Mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru alishindwa kuzungumza “neno la shukurani” baada ya Rais Jakaya Kikwete kulihutubia taifa kupitia mkutano wa Wazee Mkoa wa Dar es Salaam.

Mzee Kingunge ambaye alikaa upande wa kushoto wa Rais Jakaya Kikwete wakati akihutubia Taifa juzi, alionekana kutokuwa tayari kusema neno hilo la shukrani licha ya Kaimu Mwenyekiti wa Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Brigedia Jenerali Hashim Mbita, kumsihi afanye hivyo.

Mbita aliyekuwa upande wa kulia wa Rais Kikwete, alisikika mara kadhaa kwenye kipaza sauti akimkaribisha Mwasisi huyo wa Chama, bila ya mafanikio .

Hata hivyo haikufahamika sababu za Kingunge kushindwa kutii ombi hilo ingawa alionyesha ishara ya kutokuwa tayari kufanya hivyo licha ya Mbita kuendelea kumsihi bila mafanikio.

Tukio hilo lilitokea wakati Brigedia Mbita alipokuwa akizingatia taratibu za kiitifaki za kutoa neno la shukrani baada ya Rais Kikwete kutoa hotuba.

Baada ya kitendo hicho kulionekana kuwepo kwa miguno kutoka kwa baadhi ya wazee waliohudhuria mkutano huo wakishindwa kuelewa kilichokuwa kikiendelea kwenye meza kuu.

Hatimaye baada ya jitihada za ushawishi kushindikana Mbita aliamua kutoa neno la shukrani kwa Rais Kikwete akibainisha kuwa hotuba yake imejaa nasaha nzuri na muhimu kwa Watanzania wote.

Katika hotuba hiyo Rais Kikwete alizungumzia mambo ambayo katika kipindi cha karibuni yamekuwa yanawagusa Watanzania wengi, yakiwemo yanayohusu matatizo ya kiuchumi na uundwaji wa katiba mpya.

Kuhusu uchumi, Kikwete aliwataka Watanzania kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho Tanzania na mataifa mengine duniani yanakabiliwa na athari za kiuchumi.

Miongoni mwa athari hizo alizozitaja ni pamoja na kasi ya mfumuko wa bei ambayo haijawahi kushuhudiwa katika historia ya nchi, kushuka kwa thamani ya shilingi, kupanda kwa bei ya mafuta na kuadimika kwa sukari inayozalishwa nchini kutokana na kuuzwa kimagendo kwa nchi jirani.

Alisema serikali yake iko mbioni kukabiliana na baadhi ya matatizo na moja wapo ni kuagiza sukari kutoka nje.

Lakini tatizo kama vile kupanda kwa bei ya mafuta na kushuka thamani ya sarafu huku dola ya kimarekani ikipaa, alisema ni tatizo kwa nchi nyingi duniani.

Kuhusu Katiba, Kikwete alipinga hoja zilizokuwa zikitolewa na Chadema pamoja na wanaharakati wa mabadiliko ya katiba.

Mojawapo ya hoja hizo, alisema wanapotosha kuwa suala la muungano limekatazwa kujadiliwa.

Ukweli alisema wanapinga kwenye mchakato wa kuandaa rasimu kujadili juu ya kuvunja muungano lakini wanaruhusu maoni ya namna ya kuuboresha.

Aliwahakikishia Watanzania kuwa katika mchakato wa kuandaa katiba hiyo, watakuwa huru katika kutoa maoni yao.

Lakini akaonyesha wasiwasi wake kuwa kuna makundi ya watu yanayoweza kuhamasisha watu juu ya mambo yenye maslahi kwao hivyo akaonya:

“Ninataka wananchi wawe huru. Mtu asilazimishwe la kusema.”

Akijua wazi kuwa Chadema wamekuwa wakishinikiza mambo mbalimbali kwa maandamano kwa hoja ya kutumia nguvu ya umma, Kikwete akaonya:

“Jambo hili halihitaji maandamano… Vurugu hazina faida bali kuwaongezea machungu Watanzania. Hivyo naomba wawe na busara. Tuchague njia ya faraja. Tusichague njia ya machungu.”


NIMEJIULIZA SIJAPATA JIBU HEBU WATAMBUZI NISAIDIENI MTAZAMO WENU!

Kingunge anajua Kikwete alichokuwa akiliambia Taifa. Alihofu naye kujumuishwa itakapojulikana kwa wa Tanzania. HONGERA KINGUNGE,Umeanza ku-improve!
 
1.Hivi kikwete aliongea na wazee wa dsm kwa niaba ya watanzania wote au kwa niaba ya chama chake na wanaccm?
2. Hivi kikwete aliongea na wazee wa dsm kama Rais au kama m/kiti wa ccm?
Bado sijajua mandhari na maudhui ya hutuba ya kikwete kwa wazee wa dsm.

Aliongea nao au alikuwa anaongea asikilizwe? Kama ni kuongea nao wangeweza kuuliza kitu au kuchangia kwenye kila alichozungumza. Wazee wamechoka kama vile wanaishi kwenye jangwa, thinking capacity yao ni iko low. Ki ukweli nilichosikia kwenye ile hotuba ni vijembe tu. Na kucheka kusikokuwa na vina kama kawaida yake.
 
Back
Top Bottom