babu DC......

Yaani babuDC toka umeshiriki njama za Husninyo kujipigisha life bana ndo umeji feel guilty hadi kutokomea mapwepande msituni?
 
Kweli asee mmemisi sana mzee mwenzangu Dark City. Sijui shem kamfungia ndani?

Hahaha Roulette bana, naona unawaita washkaji zako kijanja kwa kuwamention. Ngoja nami nimstue swahiba wangu klorokwini kwa mtindo wa kimodereta.

heheh fello tablet Asprin acha nikusalim bana halaf wasalimie wanachit chat woooooooooooooooote. Mzembe nimepata jimama la ki ukraine wala msitegemee kuniona karibuni hapa JF, jimama limejifunga uzazi kabisa ili kunikomoa. Nyambaaf zangu loya.

gud night, hapa ukraine kesho tunashelehekea mwaka mpya
 
Last edited by a moderator:
heheh fello tablet Asprin acha nikusalim bana halaf wasalimie wanachit chat woooooooooooooooote. Mzembe nimepata jimama la ki ukraine wala msitegemee kuniona karibuni hapa JF, jimama limejifunga uzazi kabisa ili kunikomoa. Nyambaaf zangu loya.

gud night, hapa ukraine kesho tunashelehekea mwaka mpya

Msalamie na The Finest nasikia Balotelialimpa kibarua cha kumfulia jezi wakati wa yuro ndo kajilipua anadai yeye ni mkimbizi wa darfur.
 
Last edited by a moderator:
Babu DC ni moja ya vichwa ninavyovikubali hapa JF,na kuna wengine wengi siku izi siwaoni........
ndio maana baadhi ya majukwaa siku izi tunachungulia tu na kutoka..
 
Mbona umetupa jongoo na mti wake?
Wana jf tumekukosea nini?


Duhhhhhhhh.....

Hata sijui nianzie wapi....ila ukweli ni kwamba I am very humbled by your concerns!!

Iwe mshaija Ta Bishanga.....sijui nikushukuruje ila ukweli ni kwamba Babu ni mzima na Bibi Pia...Walienda kuchungulia maeneo ya ng'ambo ya Lweru ambako nyumba zote za wageni zimevalishwa mipira ya watoto kuzuia kunyweshea matandiko!!

Mzee mwenzangu Asprin na wakuu wengine wote.....My big salute kwenu!!

@ BADILI TABIA...lazima nikutafute unipe zawadi yangu ili nimpatie Bibi DC aitunze!!


Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!


Babu DC ....1947!!!
 
Last edited by a moderator:
Bishanga kwa kupaisha wewe kiboko! lolz, haya salamu kwa DC akikujibu...


Salamu genuine hizo....au za kichina??


kutoweka kwake lazima kutakuwa na mdomo wa mtu

Hapana Katibu.....Babu aliamua kujificha tu ili kuitafakari hii dunia inavyokwenda ndivyo sivyo!!


Labda kamsindikiza Dr Uli bondeni !

Duuuuhhhh......Naona wewe hunitakii mema....Hii msg yako haijafika kwa Kova??


Hata mimi nammiss kweli kweli. waulize Mbu na MwanajamiiOne kama wana habari yake

Umenza lini uchokozi RR?????


Babu Dark City, nisamehe sirudii tena, siku ile ilikuwa ni valuu tu.

Yaani kuomba ka uhausi kidogo tu ukakimbia mazima? Mie mjukuu nilikuwa nakutania tu.

Usiwe na shaka dada mkuu.....Babu yuko fit....atarejea soon!!


babu Dc come this way, nina zawadi yako ya sabasaba.....

Kumbe ni zawadi toka Sabasaba...Hiyo haina tatizo kabisa...Babu DC ataipokea. Mwanzoni nilidhani unaandaa zawadi kama zile anazopenda mzee mwenzangu Asprin....lol!!

Kweli asee mmemisi sana mzee mwenzangu Dark City. Sijui shem kamfungia ndani?

Hahaha Roulette bana, naona unawaita washkaji zako kijanja kwa kuwamention. Ngoja nami nimstue swahiba wangu klorokwini kwa mtindo wa kimodereta.

Mzima wewe??....Nasubiri ripoti ya maganda na risasi!!



by the way, sijamuona kitambo sasa! huwa ana ushauri mzuri sana kwa siye wajukuu zake, lol! Bishanga ama tuandamane??

Ahsante sana cacico, naomba tusiandamane kwa sababu kuna tishio la wale vibaka wa Somalia.... na Kova hatasita kutumia hizo taarifa za kiintelijensia kuvunja vunja taya za wajukuu!!


Mara ya mwisho kabisa nilipanda naye basi la Shengena wakiwa na Mwali , wakashukia pale Msata wakiniaga kuwa wanachukua bodaboda hapo hadi kijiji kinachoitwa Mchambiakisu, ambako wana mfugo wao.
Tokea hapo Sijamsikia tena.

Kamanda mbona unauza data????

Natumai mambo yanakwenda mswano!!


Babu DC!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom