Mbona umetupa jongoo na mti wake?
Wana jf tumekukosea nini?
Hata mimi nammiss kweli kweli. waulize Mbu na MwanajamiiOne kama wana habari yake
Kweli asee mmemisi sana mzee mwenzangu Dark City. Sijui shem kamfungia ndani?Mbona umetupa jongoo na mti wake?
Wana jf tumekukosea nini?
Hahaha Roulette bana, naona unawaita washkaji zako kijanja kwa kuwamention. Ngoja nami nimstue swahiba wangu klorokwini kwa mtindo wa kimodereta.Hata mimi nammiss kweli kweli. waulize Mbu na MwanajamiiOne kama wana habari yake
Mbona umetupa jongoo na mti wake?
Wana jf tumekukosea nini?
babu Dc come this way, nina zawadi yako ya sabasaba.....
Shemeji cacico mi namtafuta WomanOfSubstance umenionea wapi?by the way, sijamuona kitambo sasa! huwa ana ushauri mzuri sana kwa siye wajukuu zake, lol! Bishanga ama tuandamane??
Shemeji cacico mi namtafuta WomanOfSubstance umenionea wapi?
Hahaha Roulette bana, naona unawaita washkaji zako kijanja kwa kuwamention(waulize Mbu na MwanajamiiOne). Ngoja nami nimstue swahiba wangu klorokwini kwa mtindo wa kimodereta.
Shemeji cacico mi namtafuta WomanOfSubstance umenionea wapi?