Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Wikiend ndo hiyo jf inanipa raha! Hebu kumbuka yale mambo wazazi/wazee wako walikwambia lakini yalikuwa either funny, strange or unbelievable!
Mf 1. Wajomba zangu watatu walisoma shule darasa moja na wote separately waliniambia wameshika nafasi ya kwanza std 1 mpaka seven.!
Mf 1. Wajomba zangu watatu walisoma shule darasa moja na wote separately waliniambia wameshika nafasi ya kwanza std 1 mpaka seven.!