KARIA
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 717
- 472
Umenikataza nisiwaambie watu lakini nimeshindwa. Navokuona na unavokunywa najua umeumia sana.
Acha wanachitchat wajue umempoteza binamu na rafiki yako sana wa karibu. Kama mimi nimeumia najua ulivoumia.
Mungu amlaze binamu yetu padre Amon mahali pema peponi. Amina. Parokia ya Kurasini itakukumbuka daima.
Acha wanachitchat wajue umempoteza binamu na rafiki yako sana wa karibu. Kama mimi nimeumia najua ulivoumia.
Mungu amlaze binamu yetu padre Amon mahali pema peponi. Amina. Parokia ya Kurasini itakukumbuka daima.