Babu @Asprin pole

KARIA

JF-Expert Member
Jan 15, 2011
717
472
Umenikataza nisiwaambie watu lakini nimeshindwa. Navokuona na unavokunywa najua umeumia sana.

Acha wanachitchat wajue umempoteza binamu na rafiki yako sana wa karibu. Kama mimi nimeumia najua ulivoumia.

Mungu amlaze binamu yetu padre Amon mahali pema peponi. Amina. Parokia ya Kurasini itakukumbuka daima.
 
Umenikataza nisiwaambie watu lakini nimeshindwa. Navokuona na unavokunywa najua umeumia sana.

Acha wanachitchat wajue umempoteza binamu na rafiki yako sana wa karibu. Kama mimi nimeumia najua ulivoumia.

Mungu amlaze binamu yetu padre Amon mahali pema peponi. Amina. Parokia ya Kurasini itakukumbuka daima.
thanx KARIA! tupo pamoja mwambie!
 
Last edited by a moderator:
Jamani nazidi kusikitika babu Asprin kakosa nafasi kwenye basi la ndugu wa marehemu kaamua kutumia bajaji yake kwenda Tunduru kwenye malalo ya milele ya marehemu binamu yetu padre Amon! A NAZIKWA Tunduru kwenye makao makuu ya shirika lake! Kwa wakatoliki wanalijua hilo ipasavyo.
 
Last edited by a moderator:
Jamani nazidi kusikitika babu Asprin kakosa nafasi kwenye basi la ndugu wa marehemu kaamua kutumia bajaji yake kwenda Tunduru kwenye malalo ya milele ya marehemu binamu yetu padre Amon! A NAZIKWA Tunduru kwenye makao makuu ya shirika lake! Kwa wakatoliki wanalijua hilo ipasavyo.
jamani mwenye hata trekta ampe lift hubby wetu! khaaaaaa, KARIA mwambie naandamana huku apate usafiri!
 
Last edited by a moderator:
Jamani nazidi kusikitika babu Asprin kakosa nafasi kwenye basi la ndugu wa marehemu kaamua kutumia bajaji yake kwenda Tunduru kwenye malalo ya milele ya marehemu binamu yetu padre Amon! A NAZIKWA Tunduru kwenye makao makuu ya shirika lake! Kwa wakatoliki wanalijua hilo ipasavyo.
hii habari ina ukweli au ni chit chat? Tunduru kwa bajaji? au ni misemo ya huku ambayo imenipita?
 
0018.gif
0009.gif
0016.gif


0006.gif
bwana ametoa bwana ametwa jina lake libarikiwe .
0009.gif

0045.gif
0058.gif
0084.gif
0054.gif
0045.gif


 
Back
Top Bottom