Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kwa aina ya kifo chake na kauli yake dhidi ya mamafia tunalazimika kujenga hoja yenye kuhitaji uchunguzi wa kizalendo!
Hivyo mnao jihami kwa kusema ni kifo cha kawaida hamko timamu vichwa vyenu!
Hapa ni mahali pa great thinker jamani msiwe vichwa pasi kiasi hicho!
Ccm isiwaharibu akili zenu kiasi cha kutoona mbele!
Hivyo mnao jihami kwa kusema ni kifo cha kawaida hamko timamu vichwa vyenu!
Hapa ni mahali pa great thinker jamani msiwe vichwa pasi kiasi hicho!
Ccm isiwaharibu akili zenu kiasi cha kutoona mbele!