Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kamanda kova amekuja juu na kusema yule kiongozi wa wastaafu ambaye ni mwenyekiti wao aliyesambaza uzushi wa kufa mzee mstaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki ni mzushi na polisi wanamtafuta.
Mzee huyu aliyedaiwa kufa aitwaye Anderson Mathayo naye alishangazwa na madai ya kuwa alikufa
kwa kusema hata yeye yameshtushwa kwa sababu baada ya polisi kumwagia maji pilipili polisi hao walimchukua kwenye karandinga yao na alipopata nafuu walimruhusu kwenda makwao...........SOURCE CHANNEL TEN EVENING NEWS
Mzee huyu aliyedaiwa kufa aitwaye Anderson Mathayo naye alishangazwa na madai ya kuwa alikufa
kwa kusema hata yeye yameshtushwa kwa sababu baada ya polisi kumwagia maji pilipili polisi hao walimchukua kwenye karandinga yao na alipopata nafuu walimruhusu kwenda makwao...........SOURCE CHANNEL TEN EVENING NEWS