Babie!

Sharo hiphop

JF-Expert Member
May 17, 2011
660
99
Tunadanganyana,
navojua baby ni mtoto mdogo tena asieweza hata kuongea, sasa inakuaje leo watu wazima tunadanganyana kwa kuitana majina ya ajabuajabu? Mfano sweet/tamu, kwani kuna mchungu au mchachu?
Mamy/mama, kwani umenizaa?
Honey/asali, kwani mi nimetengenezwa na asali?

Jamani situitane tu majina yetu? Hivi ukiniita Mujuni ndo nitaona kuwa hunipendi? Au ndo stimu hazitakuja? Kwa nini tunadanganyana wakati asilimia kubwa hata hawamaanishi wanachokisema?


Please, may I submit this thread?
 
Sharohphp... wapenzi lazima wana jinsi na maneno yao ya kuitana
ambayo nyie wahusika manakua mnafurahia na kusikia wapendwa zaidi...
Haiwezekani wooote wakuite hivyo hivyo... mpenzi katika maisha ni mtu
very unique thus a unique way of calling huyo mpenzi... katika maneno
yoote kumuita mume wangu beibe ni zito hua naona mwanaume ndo
mahala pake kumuita mdada...

Hilo neno baby... ina wataalam ya jinsi ya kuita kumaanisha mpenzi badala
ya mtoto (m/me mwingine akikuita hutaki arudie tena!)
- if the rite guy call you baby (infact it is beibe) with the right
attitude na tone.... naona nisiende mbali..

Enways just uamuzi.. wewe waweza usilitumie...
 
we mwenyewe jina lako unachemka we uoni jina lako halina hamasa ya mahaba
 
Mapenzi siyo science kusema yana formula,
Ni Sanaa inayohitaji ubunifu wa maneno na vitendo
Ni hisia zinazompelekea mtu kuropoka maneno yenye kutaka kumjenga mwenzi wake kihisa pia,
Hayana mwongozo zaidi ya kunyumbua na kujinumbulisha kwa kila kinachoonekana Chafaa,
Walianza na kifo cha membe sasa kuna hadi style ya Mtaka cha uvunguni,
Ujio wa style zote ni ubunifu na ujuaji wa kila mmoja awapo shughulini.
Mapenzi Ni sanaa na msanni ni wewe na mwenzi wako,
Ubunifu ndio pekee utakao dumisha mapenzi
Hizo babie, honey sweet ndo zinadumisha maloveee dogo!!
 
Sharohphp... wapenzi lazima wana jinsi na maneno yao ya kuitana
ambayo nyie wahusika manakua mnafurahia na kusikia wapendwa zaidi...
Haiwezekani wooote wakuite hivyo hivyo... mpenzi katika maisha ni mtu
very unique thus a unique way of calling huyo mpenzi... katika maneno
yoote kumuita mume wangu beibe ni zito hua naona mwanaume ndo
mahala pake kumuita mdada...

Hilo neno baby... ina wataalam ya jinsi ya kuita kumaanisha mpenzi badala
ya mtoto (m/me mwingine akikuita hutaki arudie tena!)
- if the rite guy call you baby (infact it is beibe) with the right
attitude na tone.... naona nisiende mbali..

Enways just uamuzi.. wewe waweza usilitumie...

woooooo! Haaaaaaaaaahhh! Asanteeeee!
 
Mapenzi siyo science kusema yana formula,
Ni Sanaa inayohitaji ubunifu wa maneno na vitendo
Ni hisia zinazompelekea mtu kuropoka maneno yenye kutaka kumjenga mwenzi wake kihisa pia,
Hayana mwongozo zaidi ya kunyumbua na kujinumbulisha kwa kila kinachoonekana Chafaa,
Walianza na kifo cha membe sasa kuna hadi style ya Mtaka cha uvunguni,
Ujio wa style zote ni ubunifu na ujuaji wa kila mmoja awapo shughulini.
Mapenzi Ni sanaa na msanni ni wewe na mwenzi wako,
Ubunifu ndio pekee utakao dumisha mapenzi
Hizo babie, honey sweet ndo zinadumisha maloveee dogo!!

Tutasinzia???
 
Klorokwini aliniambia mapenzi ni utenzi /sanaa, naamini anaweza kuwa na mchango mkubwa sana kwenye hili
 
Code:
Tunadanganyana,
navojua baby ni mtoto mdogo tena asieweza hata kuongea, sasa inakuaje  leo watu wazima tunadanganyana kwa kuitana majina ya ajabuajabu? Mfano  sweet/tamu, kwani kuna mchungu au mchachu?
Mamy/mama, kwani umenizaa?
Honey/asali, kwani mi nimetengenezwa na asali?
 
Jamani situitane tu majina yetu? Hivi ukiniita Mujuni ndo nitaona kuwa  hunipendi? Au ndo stimu hazitakuja? Kwa nini tunadanganyana wakati  asilimia kubwa hata hawamaanishi wanachokisema?
 
 
Please, may I submit this thread?

Utamu wa mandhari ya lugha ni kutolea mifano kwa vitu vinavyoshahibiana...........................wazungu huita figurative language..................................upo hapo?
 
Code:
Kwani umelazimishiwa....kama hutaki mwambie mwenzako asikuite hivyo!

La ajabu ni kuwa akipachikwa hayo majina udende humdondoka lakini akija humu jamvini aanza kusagia....lol.................
 
Back
Top Bottom