OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo wakuu ! Ile kauli kuwa mjinga akijitambua mwerevu upo matatani ime endelea kutimia. Jana wanachama 1200 wa ccm wamerudisha kadi na kujiunga na makamanda. Mkutano huo uliongozwa na Kamanda Tindu Lisu ktk mwendelezo wa Movement for change. Source : Taarifa ya habar ITV saa 2 usiku leo.