Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Wanakijiji wa vijiji 4 katika Bonde la Kiru wamechoma moto viwanda vi2 vya sukari,mashamba na Matrekta 20 mali wawekezaji fake wa Kihindi... My take; Wananchi wamechoka jamani,wananyanyasika katika ardhi yao... PEOPLE.'S POWER!!!