Baba yetu huyu tumfanyeje ........anaendelea kutotoa

Hii ngumu kwa kweli. Nilizani anatotoa na vicheche wa nje kumbe na mkewe? Hii ngumu. Sina la kusema jameni.
 
There you are......same na wengine wanaooa mama wadogo halafu wakizaa huko ndo kutambulishana ooonh nikifa na huyu mdogo wenu......boring aaaagh

Waambieni openly but muwe na hoja like (wawawekee salio la kusomea kabla hajafa) as nyie mna familia zenu ati ishu hapo si kukataa ndugu ila kwa mfano mpo sita na bado anagonga copy....aged sixty two ; last born 3yrs old imagine

Mumwambie tu kwa kweli tena wakiwa sober; about laanaa....only God can deliver if it is valid
 
Jamani, mbona ile thread ya Tanmo inawafanya mnashindwa kuchangia?
Pole sana Marytina, I now how you feel. Labda utafute wazee wawili watatu mtaani wakaongee na baba kumconvince kufanya hiyo opresheni...
 
@arusha,baba mngoni,mama mchagga


Ana watoto wengine wameolewa/wameoa wana watoto wapo darasa la tatu, baba bila aibu anaendelea kuzaa yaan maternity ward mdada mama unakuwa pamoja na mama yako tena wewe unaenda kwa ajili ya mtoto wa pili.

Kuna siku nilimtania baba kidogo kuhusu kuendelea kwake kuzaa ezeeni akageuka mbogo tena akataka kunilaani.Tunataka tuongee na daktari awamalize uzazi wote baba na mama manake wanatuaibisha.

Acha kumuonea baba wivu, hata biblia inasema'zaen mkaijaze dunia'
 
hadi dakika hii sioni tatizo, si anazaa na mama yenu?
Angezaa na nyumba ndogo je?
Mtawasomesha nyie watoto wakubwa labda anayekuja ni raisi.
 
Babu yenu naamanisha baba yake baba yenu. Lakini kama mama yupo ongeeni nae. Otherwise mtafute dr awachakachue both of them. Tena ntakupa contact kabisaa,akitema mate tu maza nitonye! Kwani mama yenu ana miaka mingapi ya umri? I'm still puzzled!
SASA UNAKARIBIA KUFUNGUKA
nieleza nitakavyomwanza manake kuna siku nilimtania akawa mmbogo.
 
watoto ni zawadi toka kwa mungu jamani!muwekeeni umeme nyumbani,watakuwa wanawahi sana kulala
 
kazi ipo sana na sio ndogo. mama akishafunga kizazi basi kazi imeisha...baba ataendelea kwa starehe zake, cha msingi baba kwa sasa asijue mama ameshafunga hiyo biashara. utakuwa ni ugomvi ambao hamtaweza kuumaliza. mzee nadhan anaona fahari kuongeza namba ya watoto. kinachomponza hapa ni hapo kwenye red. baada ya pombe zake akifika home ni kumparamia tuu mama bila kujali msimu.
given that baba yetu ni cha-pombe kwa nini tusiombee msaada wa madaktari kuikata mirija yake ya mbegu za kiume (epidedyis)?
Mama alishakubali ila baba kazi ipo
 
kule nimepewa bango nikakimbia.
Ila hii nisaidiani tumfanyeje huyu baba/mama yetu????

pole dia. kama watoto mmeshindwa kuwashauri basi ni vema mkatumia msaada wa daktari mkamuone kwanza nyie wenyewe mpange nae namna ya kumueleza kuwa hali ya mama na kizazi chake ni mbaya hivyo hastahili kuzaa tena vinginevyo atakufa, vinginevyo tumieni hata watu wazima wenzake ambao wanaweza kuongea nao kuh suala hilo, hata kama kwa sasa anauwezo wa kuwahudumia lakini hataweza kwa muda wote ambao watoto watahitaji huduma yao mwishowe itakuwa ni mizigo yenu na wakati huo nanyi mna watoto. Hilo ni tatizo la ubinafsi.. wanajiangalia wao na starehe zao huku wanasahau km wanawatengenezea watoto maisha magumu imagine mtoto at teen age anakuwa na baba wa 75 years???!! what an embarrassment:embarassed2::embarassed2:
 
Nyie ongeeni na Daktari amwite baba na mama awambie madhara ya kuzaa uzeeni ikiwemo uwezekano wa mama kupoteza maisha wakat wa kujifungua pia kwa baba uwezekano wa kuzaa watoto wenye uwezo mdogo wa kufikiri(sina uhakika na hili) ila ili mradi wamtishe tu baba.Otherwise mjiandae kubeba mizigo mizito ya kulea mpaka basi.....poleni sana
 
given that baba yetu ni cha-pombe kwa nini tusiombee msaada wa madaktari kuikata mirija yake ya mbegu za kiume (epidedyis)?
Mama alishakubali ila baba kazi ipo

Akiumwa malaria, mwambie Dk amdanganye ni kansa ya kizazi, then mumfanyie hivyo. Swali ni je, dk gani atakubali hilo, manake tutamfutia leseni kabisa. :nerd:
 
MaryTina kwa nini huwapendi wadogo zako watarajiwa, kwa nini hupendi sisi Wangoni tuijaze ardhi ya Tanzania iliyojaa mapori, Bikira Maria huko juu anakutazama wajina wake, kwa Nini???...
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom