@arusha,baba mngoni,mama mchaggaAna watoto wengine wameolewa/wameoa wana watoto wapo darasa la tatu, baba bila aibu anaendelea kuzaa yaan maternity ward mdada mama unakuwa pamoja na mama yako tena wewe unaenda kwa ajili ya mtoto wa pili.Kuna siku nilimtania baba kidogo kuhusu kuendelea kwake kuzaa ezeeni akageuka mbogo tena akataka kunilaani.Tunataka tuongee na daktari awamalize uzazi wote baba na mama manake wanatuaibisha.