Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Acha kufananisha vitu vinavyopatkana kwa mama na vtu vya kijinga, kumbe baba hadi aondoke siku mbili ndo anamisiwa bt ikipita saa bila mama kuonekana mtoto anakua kichaa, hakuna kama mama.ndo ivyo tena kwa mama vitu kama ivyo havipatikani, baba ukiondoka siku mbili tu mtoto anakumiss
pia hakuna kama baba! huwez kufananisha baba na vitu kama mama! baba anabaki kuwa baba na mama anabaki hivyoivyoAcha kufananisha vitu vinavyopatkana kwa mama na vtu vya kijinga, kumbe baba hadi aondoke siku mbili ndo anamisiwa bt ikipita saa bila mama kuonekana mtoto anakua kichaa, hakuna kama mama.
pia hakuna kama baba! huwez kufananisha baba na vitu kama mama! baba anabaki kuwa baba na mama anabaki hivyoivyo