Mtumiabusara
JF-Expert Member
- Nov 18, 2009
- 473
- 40
Katika kupitia speech za Baba wa Taifa, hii niliipenda, nitanukuu point chache alizozungumzia kuhusu sifa kiongozi wa Taifa letu wakati akihutubia mkutano mkuu wa CCM:
- Watanzania wanahitaji mabadiliko. Wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM
- Watanzania wanahitaji kiongozi anayetambua matatizo yetu, na matatizo hayo yanamkera. Alitaja baadhi ya matatizo ni
- Rushwa
- Umaskini (aliwakemea kuwa CCM siyo chama cha matajiri)
- Udini
- Ukabila