Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Wakuu!
Huyu jamaa alikuwa akiendesha kipindi cha Reggae pale East Africa Radio na baadae EATV pia. Naomba kujua ni Mtanzania au ni raia wa nchi gani? Na bado anaendelea na kazi yake? Binafsi navutiwa na umahiri wake ktk uga wa muziki wa Reggae hasa Roots Raggae.
Huyu jamaa alikuwa akiendesha kipindi cha Reggae pale East Africa Radio na baadae EATV pia. Naomba kujua ni Mtanzania au ni raia wa nchi gani? Na bado anaendelea na kazi yake? Binafsi navutiwa na umahiri wake ktk uga wa muziki wa Reggae hasa Roots Raggae.