PADRE aliwauliza waumini PADRE: Ni kiungo gani cha mwili hupatikana katika sehemu iliyojificha na kina wingi wa unyevunyevu kinaweza kufanya ndoa iwe imara sana au kuyumbisha??? WAUMINI: Kimya huku wameinamisha vichwa......... PADRE: Inukeni niwaonyeshe, ni Hiki akagusa ULIMI, na kuwaambia mlifikiri nini! ............. akili zenu mbovu waone kwanza, mnawaza ngono tu.