BIN BOR
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,013
- 407
"Baba nataka kuoa"
"Huwezi kuoa sasa mwanangu, wewe bado mdogo, lazima ukue na kupata mwanamke unayempenda."
"Nimeshampata baba"
"Umempata! Nani?"
"Bibi"
"Bibi yako ni mama yangu, huwezi kumwoa wewe!"
"Kwa nini nisiweze na ninampenda"
"Huelewi? huwezi kumwoa mama yangu!"
"Mbona wewe uliweza ulimwoa mama yangu?"
"Huwezi kuoa sasa mwanangu, wewe bado mdogo, lazima ukue na kupata mwanamke unayempenda."
"Nimeshampata baba"
"Umempata! Nani?"
"Bibi"
"Bibi yako ni mama yangu, huwezi kumwoa wewe!"
"Kwa nini nisiweze na ninampenda"
"Huelewi? huwezi kumwoa mama yangu!"
"Mbona wewe uliweza ulimwoa mama yangu?"