...No Lasthope, shati la mdingi halijatulia mwanawane!!!!hapo ni kwao au vipi? mbona mdingi yuko shwari tu, pamba hizo zinamfaa tu
Pinda kama hapo ndo kwenu!wajengee wazazi wako nyumba bora za kisasa
i really like nchi yangu,hajajenga kwao wabongo twamwambia ajenge akijenga tutamwita fisadi na kusema anakula jasho letu!!!loooh!