Baba na Mama

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Je kuna ukweli katika hili unaloliona hapa?
Dady  Mom.jpg
 
Wanaume, wachache sana ni walezi. Nyie wakiTZ ndo usiseme ukiachiwa ulezi hata mama kenda dukani eti keshakuwa Bushoke
 
Tusipende kuiga kila kitu,haya mambo ya wakoloni tuwaachie wenyewe.
 
Wanaume, wachache sana ni walezi. Nyie wakiTZ ndo usiseme ukiachiwa ulezi hata mama kenda dukani eti keshakuwa Bushoke


Kwani hao watoto tuliowalea hadi tukapata wajukuu tumesaidiwa na nani??

Naomba usiwasemee wanaume wote dada!!

Babu DC!!
 
Tusipende kuiga kila kitu,haya mambo ya wakoloni tuwaachie wenyewe.


Nakubaliana na wewe...Wanaume wa Kibongo hatuwezi kufanya ulezi kama wa hao jamaa ambao unakuta dume linashinda na mtoto for over 12hrs kwa sababu tuna sababu za msingi!

Kwa mfano, utakaaje na mtoto mdogo muda mrefu wakati una house girl na wanawasichana wengine kibao ndani ya nyumba? Na wakati huo, unatakiwa kukimbiza mwenge kusaka pesa ya kula??

Ila siyo kwamba hatujui kulea, tunalea kwa namna yetu wenyewe, which is special for us only....!!!

Babu DC!!
 
Nakubaliana na wewe...Wanaume wa Kibongo hatuwezi kufanya ulezi kama wa hao jamaa ambao unakuta dume linashinda na mtoto for over 12hrs kwa sababu tuna sababu za msingi!

Kwa mfano, utakaaje na mtoto mdogo muda mrefu wakati una house girl na wanawasichana wengine kibao ndani ya nyumba? Na wakati huo, unatakiwa kukimbiza mwenge kusaka pesa ya kula??

Ila siyo kwamba hatujui kulea, tunalea kwa namna yetu wenyewe, which is special for us only....!!!

Babu DC!!
Nakubaliana na wewe mkuu,sisi hatuna utamaduni huo toka enzi za mababu na watoto wanakuwa vizuri tena kwa maadili sasa hivi wanatuletea mambo yao eti na mwanamme apewe likizo ya uzazi,mtoto akilia nitamnyonyesha?
 
Nakubaliana na wewe mkuu,sisi hatuna utamaduni huo toka enzi za mababu na watoto wanakuwa vizuri tena kwa maadili sasa hivi wanatuletea mambo yao eti na mwanamme apewe likizo ya uzazi,mtoto akilia nitamnyonyesha?
Mkuu, social behaviour zinajengwa na tamaduni, perception ya jamii iliyokuzunguka kususu mambo tofauti na ustaarabu wa kuiga kutokana na watu kukaa mbali na tamaduni zilizowakuza. Kwenda shule ni moja ya sehemu hiyo.

Sasa inakera pale ambapo wanawake wanataka kulazimisha kuacha yale yote waliyokuwa nayo na kukumbatia waliyoyakuta vyuoni na makazini na kwenye semina na warsha na kwenye Luninga na magazines.

Binadamu sio kama crane, unaswitch on hiki na kuswitch off kile.
 
Mkuu, social behaviour zinajengwa na tamaduni, perception ya jamii iliyokuzunguka kususu mambo tofauti na ustaarabu wa kuiga kutokana na watu kukaa mbali na tamaduni zilizowakuza. Kwenda shule ni moja ya sehemu hiyo.Sasa inakera pale ambapo wanawake wanataka kulazimisha kuacha yale yote waliyokuwa nayo na kukumbatia waliyoyakuta vyuoni na makazini na kwenye semina na warsha na kwenye Luninga na magazines.Binadamu sio kama crane, unaswitch on hiki na kuswitch off kile.
Kweli kabisa mkuu. Hata kama yanatokea mabadiliko, ni muhimu yaende taratibu badala ya kutaka overnight transformation.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom