Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
hahaha ...kwa hiyo unafikiri huyu dogo mko level moja? unafikiri mtakutana mtaani ee? kalabagaho
kwani tunasoma ili tukutane na mwaasha? We vipi??
Kama alijua baba yake raisi kwanini alienda kusoma tena kwa kuwaangaisha wazazi kuhama shule moja hadi nyingine kutokana na ukilaza wake..
Yeye ana akili ndogo kama mshua wake na swala la kutolingana halioa mashiko hata kidogo.